Video: Rapa RICK ROSS Ametua jijini Nairobi tayari

Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
 
Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Hata mimi sauti yake tu, mi hoi
 
Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Hatari sana zaidi nazimia ngoma yake inaitwa john yuko na Wayne nyingine kapewa shavu na meek mill boss

akisemaga nhooooo lazima ukae
 
Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Tupo wengi mkuu, playlist yangu ina ngoma zake kibaooooo, HUH
 
Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Haaaaaaaaaaa roseeeeeeeeeeeeee tuko pamoja
 
Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....

Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"

kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Mkuu samahani nikuulize we ni ke au me?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom