Hata mimi sauti yake tu, mi hoiHuyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....
Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"
kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Yani kwakweli hata ukikaa nae ndani wanajua uko na mwanaumeHata mimi sauti yake tu, mi hoi
Sasa hizi dharau.Yani kwakweli hata ukikaa nae ndani wanajua uko na mwanaume
haha pole mkuuSasa hizi dharau.
Hatari sana zaidi nazimia ngoma yake inaitwa john yuko na Wayne nyingine kapewa shavu na meek mill bossHuyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....
Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"
kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Jamaa ni shidaaHatari sana zaidi nazimia ngoma yake inaitwa john yuko na Wayne nyingine kapewa shavu na meek mill boss
akisemaga nhooooo lazima ukae
Mgonjwa uyo miez kadhaa ilio pita alizidiwa baada ya manager wake kufarikiNamuona yupo tofauti kabisa na alivyozoeleka, amepungua sana na kichwani amekuwa mweupe kidogo
Tupo wengi mkuu, playlist yangu ina ngoma zake kibaooooo, HUHHuyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....
Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"
kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Haaaaaaaaaaa roseeeeeeeeeeeeee tuko pamojaHuyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....
Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"
kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
Mkuu samahani nikuulize we ni ke au me?Huyu jamaa mimi sauti yake tu...
yani watachana watu wote wakina kendric lamar,Drake,kanye nk lakini uyu jamaa akitoa verse hata haina maana namkubali sauti yake kishenzi....
Kwenye wimbo wa wakawaka kila saa naskiliza "Black bottle Boys"
*Big bosses everywhere we go we run streets,never gossip am only for the big talk"
kama Hip hop majigambo jamaa anayaweza na sauti anayo
keMkuu samahani nikuulize we ni ke au me?
Heshima yako nimependa jinsi unavyochambua hizi kazi za kigumu ni ke wachache sana wanaweza
asanteHeshima yako nimependa jinsi unavyochambua hizi kazi za kigumu ni ke wachache sana wanaweza