Kiasi gani wapi inaonyesha kuwa kachukua hela?
Mna kazi mwaka huu mipango yenu ya kifisadi imekwama haina jipya mbele ya wadau wa maendeleo kama muhongo.
Niliwahi kusema wazi kuwa katika watu ambao hawanaakili pale chadema mohamed mtoi utakuwa unaongoza mda mwingi unautumia kupika majungu na umbea .
Ndiyo maana chadema waligundua pia hawajakupa nafasi ya maana kwenye chama wakijua kuwa wewe ni zero kuliko hata mbowe.
Mengi na chadema walijua kuwa propaganda zao zitamsukuma jk kufanya uamuzi ambao hauna mashiko usiojali hoja na ukweli kumbe jk akiambiwa huchanganya na zake.
Huyu anadhani musoma ni kama Dar wanakula miguu ya kuku.
Swissme
Wewe na team magamba hamjitambui mwisho wenu unakuja mtajiharishia maofsini mwenu.
Hao ni wahuni walioandaliwa na akina Tumbili
Nguvu ya wahuni na walevi wasiojua hata maana ya mikataba ni nini.
Hiyo video si ya musoma illchukuliwa kwenye mikutano mingine ya Chadema kisha Vijana wa a Mengi na Mkono wameifanyia kazi.
Niliwahi kusema wazi kuwa katika watu ambao hawanaakili pale chadema mohamed mtoi utakuwa unaongoza mda mwingi unautumia kupika majungu na umbea .
Ndiyo maana chadema waligundua pia hawajakupa nafasi ya maana kwenye chama wakijua kuwa wewe ni zero kuliko hata mbowe.
Pesa za escrow ni dola million 120 tu, na angalau Rugamalila kalipa kodi, Sasa tizama hizi ambazo zilihamishwa kwenda nje pasipo kulipa kodi kwa Msaada wa Regnal Mengi baada ya kupewa Mgao wake, Rostam aliuza Dowans kwa dola million 120 na kisha Serikali ikalipa fidia dola million 100, pia Huyo Huyo Rostam mshirika wa Mengi akauza hisa za Voda kwa Dola million 300 hakulipa kodi, jumla ya Pesa zote ni Dola million 520 ni Pesa nyingi na Laiti kodi ingelipwa Serikali wangepata pesa Nyingi kuliko hata hizo za escrow, Lakini Pesa ambayo ingelipwa Kodi Rostam alimpatia Mengi ili kumaliza Ugonvi wao na kumunyamazisha asitoe Siri, haya yote yamefanyika wakati Muhongo hajawa Waziri. Kwa wale Wanamwona Mengi ni MUNGU sasa waanzie hapa kumjua vyema.
Hiyo video si ya musoma illchukuliwa kwenye mikutano mingine ya Chadema kisha Vijana wa a Mengi na Mkono wameifanyia kazi.
Kosa la mtoi ni nini katika huu uzi?? Yeye amekuwekea video inaonyesha watu wakiimba...jadili maada iliyomezani kaka,,, sio oooh the ndio maana CHADEMA hawajakupa cheo cha maana ,, ongea kama rijali mkuu...
Niliwahi kusema wazi kuwa katika watu ambao hawanaakili pale chadema mohamed mtoi utakuwa unaongoza mda mwingi unautumia kupika majungu na umbea .
Ndiyo maana chadema waligundua pia hawajakupa nafasi ya maana kwenye chama wakijua kuwa wewe ni zero kuliko hata mbowe.
Vijana wa magamba wanamhofia sana mtoi kwa uwezo wake wa kujenga na kusimamia hoja, wengi huishia kumtukana na kuleta viroja lakini hawagusi hoja zake.
Inasikitisha sana kuwa na vijana wasio jua kujibu hoja kwa hoja.