Kabla ya kuwafuturisha na yeye alifunga au alikuwa amekula? Swali la kidaku lakini.Hongera zake kwa ukarimu
Kabla ya kuwafuturisha na yeye alifunga au alikuwa amekula? Swali la kidaku lakini.Hongera zake kwa ukarimu
Mojawapo ktk hayo mawili ni jibuKabla ya kuwafuturisha na yeye alifunga au alikuwa amekula? Swali la kidaku lakini.
itakuwaWaliopika hiyo futari ni waislamu kweli?
Sentensi moja ni hoja, ila ukurasa mzima ni hadithi!Kula kona Mzee, sijazungumzia udini Mimi, Ina mana kumsifu Kristu Ni kuleta udini?? Jicheki
Oyaa, staki ngonjera hapa jombaaa?sawa? Kwani Magufuli Ni muislam? Lakni mbona kafuturisha waislam, nchi yetu haina dini, so PITA HIVISentensi moja ni hoja, ila ukurasa mzima ni hadithi!
upende sana kuchagua hoja kuliko hadithi kwasabu hoja ni mafanikio na hadithi ni burudani ya masimulizi.
Huwezi kutafuta maisha kwa kutumia hadithi.
Hoja: ni kazi moja/chache inatokupa/zinazokupa faida kubwa
Hadithi: ni mkusanyiko wa vishughuli vingi vinavyoleta kipato hafifu na mda wote itakufanya uwe bize hata ukose mda wa kupumua.
Tumia akili kuliko nguvu. Unaweza ukajifanya wewe ni mpambanaji kumbe mda na nguvu unayotumia haviendani.
MAGUFURI AMEFUTURISHA WAISLAM,TUMSIFU YESU KRISTU IMETOKA WAPI NA HUONI HAIHUSIANI??
KweliSafi sana tutii mamlaka zilizowekwa duniani na hata mbinguni