Inasikitisha sna hivi ni sahihi kupiga king'ora hospitalini jamni??
HIvi naomba kuuliza, Kwnye Qurhan kuna kipengele chochote kilicho jua siku za mbele ? labda kutaja kuhusu technology ya Ndege za Abiria, magari ya petroli , umeme ,simu , computers ,friji au chochote cha technolgia kilicho siku za sasa? Asante
Hivi hii ni mila yetu au Muhimbili kukosa organization?
Au kukosa organization ndiyo mila yetu?
Mbona naona kama ilikuwa shaghalabaghala tu?
Kama huu ulikuwa ni muda wa familia, basi waandishi wa habari wangeheshimu hilo na kutopiga picha hizi.
Kama hii ilikuwa ni katika muda wa kumuaga Kawawa publicly, bsi kungekuwa na organization yenye heshima zaidi.
I mean this is goddamn Kawawa for atoms sake, where is the dignity? Hamna hata viaskari njaa vya uongo na kweli ku control watu? Hamna hata kijia cha utepe kuenzi umuhimu wa huyu bwana?