VIDEO: Mtoto Getrude akaribishwa Bungeni Dodoma baada ya kutoka Marekani

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817


Binti wa Kitanzania Getrude Clement aliyehutubuia kwa ustadi na umakini mkubwa sana huko Umoja wa Mataifa, New York, tofauti na wengi walivyokuwa wanadhania huyu binti kutokana na maneno yake yeye mwenyewe anasoma Shule ya Kata huko Mkoani Mwanza!

Hivyo Shule zetu ingawaje changamoto bado ni kubwa sana lkn tuna matumiani makubwa kama kuna aliyekuwa anatafuta ushahidi!!

Na huyu Binti amezidi kutudhibitishia kwamba Kiingereza ni Lugha tu na kuweza kuitumia huhitaji kuacha kutumia Lugha yako yako unaweza ukasoma kwa kutumia Kiswahili na bado Kiingereza ukakiweza tu!
 
Binti wa Kitanzania Getrude Clement aliyehutubuia kwa ustadi na umakini mkubwa sana huko Umoja wa Mataifa, New York, tofauti na wengi walivyokuwa wanadhania huyu binti kutokana na maneno yake yeye mwenyewe anasoma Shule ya Kata huko Mkoani Mwanza!
Hivyo Shule zetu ingawaje changamoto bado ni kubwa sana lkn tuna matumiani makubwa kama kuna aliyekuwa anatafuta ushahidi!!

Na huyu Binti amezidi kutudhibitishia kwamba Kiingereza ni Lugha tu na kuweza kuitumia huhitaji kuacha kutumia Lugha yako yako unaweza ukasoma kwa kutumia Kiswahili na bado Kiingereza ukakiweza tu!

Hivyo ma elite wa Kiafrika ongeeni na watoto wenu Kiswahili tu msiwe na wasi wasi Kiingereza watajua tu kama ni wakujua!


Alihutubia kwa kiswahili au kiingereza?
 
Sidhani kama anasoma shule ya kata, au unamaanisha ni shule ya st....... iko eneo la kata mkuu
 
Inatia moyo kuona sasa serikali inaanza kulipatia heshima jambo hilo. Juzi tulichangia Uzi humu. Baada ya kuambiwa mapokezi yake yalikuwa hafifu. Binti ameiwakilisha vyema nchi yetu kushinda hata timu zetu za mpira au malimbwende wetu wa miaka yote.
Huyo ana vipaji vingi. Ingefaa na kutia moyo kwake na wengine iwapo serikali ingemuendeleza..
 
That young girl is very intelligent, yaani natural bright !!

jinsi tu anavyojibu maswali na kujieleza, utagundua hilo.



Hilo liko wazi unafikiri aliwezaje kupenya na kuweza kuchaguliwa kushiriki, bila shaka kulikuwa na mchujo wa nguvu!
 
Huyo siyo mtoto mbna mtu mzima!!
Ili mtu aitwe mtu mzima anatakiwa awe na umri kuanzia miaka mi ngapi? Kama utajibu ndo utajua kama huyo ni mtoto au mtu mzima kama mama ako.


Binti wa Kitanzania Getrude Clement aliyehutubuia kwa ustadi na umakini mkubwa sana huko Umoja wa Mataifa, New York, tofauti na wengi walivyokuwa wanadhania huyu binti kutokana na maneno yake yeye mwenyewe anasoma Shule ya Kata huko Mkoani Mwanza!

Hivyo Shule zetu ingawaje changamoto bado ni kubwa sana lkn tuna matumiani makubwa kama kuna aliyekuwa anatafuta ushahidi!!

Na huyu Binti amezidi kutudhibitishia kwamba Kiingereza ni Lugha tu na kuweza kuitumia huhitaji kuacha kutumia Lugha yako yako unaweza ukasoma kwa kutumia Kiswahili na bado Kiingereza ukakiweza tu!
 
Safi kijana yupo vizuri serikali imwangalie pengne badae anaweza kulisaidia taifa letu kaanza vizuri
 
Back
Top Bottom