Malaria 2
Kosugi
adriz
Kupiga adhan ya kelele alfajir ni bidaa. Tuwaelimishe waadhin wetu wa mtaani waacha hiyo kitu. Hasa wale maeneo ya Tandika, Mbagala, Temeke, Buza Tandale na Buguruni.
Maeneo ya Masaki, O'bay, Mikocheni, Ada Estate, na Upanga hili tatizo halipo