VIDEO: Marekani yafanya maonesho ya Kijeshi nchini Korea Kusini

Unabakia kutuonesha filamu sasa, kama ni mwanaume ungemchokonoa tukajua, sio unajifanya unaenda kumpiga mtu halafu ukifika alipo eti unapiga pushup na vigema, ili iweje? Akuogope?
 
George Bush pamoja na ubabe wake wote aliufyata, Obama hakujaribu hata kuleta propaganda, itakuwa huyu chizi?
Kama haogopi anasubiri nini?
Tangu lini tumeanza kusikia habari hizi?
US amekwama, yaliyobaki ni maigizo tu kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…