mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,309
- 2,218
UN, AU, UK wakipata nakala wafanyeje? Kwani hukumbuki Maalim Seif alifungua kesi huko Ulaya baada ya uchaguzi wa Zanzibar, iliishia wapi?Kinachotakiwa kufanywa na Maalim ni kutuma watu katika miji ya Mtwara Lindi na Bagamoyo kabla ya uchaguzi mkuu ujao
Ili akathibitishie jinsi washenzi wanavyokusanya watu na kuwapeleka Zanzibar kwenda kupiga kura.
Kudocument kila kitu ili UN EU UK wapate nakala
Mimi nayasema haya kwasababu nilikuwa kwenye Chama cha washenzi kabla kuomba toba kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Na tulikuwa tunahusika kwenye huu ushenzi
Sent using Jamii Forums mobile app