Umemaliza kuandika? Haya kakande matope.Maalim seif akili zake azina akili
Anafanya siasa Zanzibar kwa kipindi hiki yeye ni kama nani?
haba cheo chochote pale ACT zaid ya kuitwa mshauri wa chama kama mzee makamba
Anafanyaje siasa Zanzibar wakati ACT haina hata diwani mmoja usema ni mkutano wa diwani Mm nilialikwa.
Yule mzee seif kama sio chizi basi anakalbia uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachama pekee wa ccm waliobaki Visiwani ni Polisi na wake na wake zao..
Maalim seif ameanza tena ubaguzi wake
Kwani masauni hawezi kuwa Rais wa Zanzibar !
Yeye ndiye mpiga kura?
Nimemdharau sana huyu Mzee
Aliyesema Rais wa JMT hawezi toka kaskazini ndiye mpiga kura?
Tafakari.
Nashangaa sana kwa nini uoinzani haupingi zaidi hiki zuio la kufanya mikutano.
Huu ni udhaifu mkubwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie nani?Nyie mnataka kuvuruga Amani ya Nchi Yetu ?
Mnafikiri mtaweza?
Nyie nani?
Kuvuruga amani kivipi?
Tanzania kuna amani?
Amani ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujajibu hata nyie nani.Nyie nani? Hujui?
Mnataka kuvuruga amani ndio ila mnafikiri mtaweza?
Tanzania kuna Amani ndio maana unatoa maoni bila kuingiliwa na upo mtaani
Na wewe unafanya kitu gani? Nyinyi ndio baada ya kukaribishwa vizuri ,Zanzibar kutoka Tanganyika, mkapewa elimu bure, kazi , mkaleta ushenzi wenuMachotara hawana chao Zanzibar, wasubiri karne ya miamoja
Na wewe unafanya kitu gani? Nyinyi ndio baada ya kukaribishwa vizuri ,Zanzibar kutoka Tanganyika, mkapewa elimu bure, kazi , mkaleta ushenzi wenu
kama kwenye hiyo Wizara ya M/Ndani aliwajaza ndugu zake,je akiupata uRais si ndiyo atawaweka hadi mahawara zake kwenye sekta nyeti.Itakuwa hasara kubwa sana kwa Zanzibar kuwa na Rais kama Masauni
Zanzibar itakuwa Dubai ya Africa MasharikiMaalim seif ni taasisi,sio mwanasiasa wa kawaida,watu wana fedha,dola ,mabomu na miznga lakini wameshinda kuushawishi umma wa Zanzibar usimuamini maalim Seif.
Huyu mzee naamini 2020 atawaongoza wazanzibar akiwa Rais wa Zanzibar na atawaletea maendeleo makubwa kwakuwa watamuunga mkono na watakuwa tayari kujitolea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kikubwa ni kwamba Zanzibar sio Nchi ya mwarabu wala chotara
Aishi kwa kufuata sheria za Tanzania