View attachment 1292028
Huyu ni Lurent Bagbo aliwahi kusema kuwa hawezi kuiachia kiti hata dunia igeuke
Leo ni mfungwa kwenye mahakama huko the Hague muangalie sura yake ilivyojaa majuto
Msafara wa Maalim wawapa kiwewe Washenzi
Si baada ya kulawitiwa na wananchi wenye kiu ya hakiWewe upo dunia gani huyo alishaachiwa siku nyingi
Mbona wana mashamba na ardhi hicho chao unachokisema ni kipi.Machotara hawana chao Zanzibar, wasubiri karne ya miamoja
Jipige dole then nusa, ndio akili zako zilivyoMaalim seif ameanza tena ubaguzi wake
Kwani masauni hawezi kuwa Rais wa Zanzibar !
Yeye ndiye mpiga kura?
Nimemdharau sana huyu Mzee
Maalim seif ameanza tena ubaguzi wake
Kwani masauni hawezi kuwa Rais wa Zanzibar !
Yeye ndiye mpiga kura?
Nimemdharau sana huyu Mzee
Akajipigie kwake hapa kukwaani atatuchafulia hali ya hewa
Kweli Watanzania ni wagumu sana kuelewa hata kufahamu. Sheria ya Vyama vya siasa inatoa Fursa kwa Chama chochote chenye usajili kufanya mikutano na maandamano baada ya kutoa taarifa Polisi masaa 24 kabla na sio ka kauli ya WAZIRI au RAIS. Hivyo basi hiyo ya kua na diwani kama ulivyo kariri ni kauli na ushauri wa Mh. RAIS lakini sio matakwa ya sheria. Zanzibar Rais wao hana shida na utekelezaji wa Sheria hii ndio maana unaona Maalim anaendelea tu na ziara zake kisheria yuko sahihii ila kisiasa hasa za huku kwetu bara ndio hilo awe na Diwani au Mbunge na kwa maelekezo ya Mkuu wa Wilaya au Mkoa. Nadhani umeelewa KADA mwenzangu.Maalim seif akili zake azina akili
Anafanya siasa Zanzibar kwa kipindi hiki yeye ni kama nani?
haba cheo chochote pale ACT zaid ya kuitwa mshauri wa chama kama mzee makamba
Anafanyaje siasa Zanzibar wakati ACT haina hata diwani mmoja usema ni mkutano wa diwani Mm nilialikwa.
Yule mzee seif kama sio chizi basi anakalbia uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu akusamehe makosa yako na aendelee kukuongoa kwenye njia ya haki!Kinachotakiwa kufanywa na Maalim ni kutuma watu katika miji ya Mtwara Lindi na Bagamoyo kabla ya uchaguzi mkuu ujao
Ili akathibitishie jinsi washenzi wanavyokusanya watu na kuwapeleka Zanzibar kwenda kupiga kura.
Kudocument kila kitu ili UN EU UK wapate nakala
Mimi nayasema haya kwasababu nilikuwa kwenye Chama cha washenzi kabla kuomba toba kutoka kwa Mwenyezi Mungu
Na tulikuwa tunahusika kwenye huu ushenzi
Akiongea katika mikutano yake ya ndani maalim seif asema masauni amefanya ushenz wa hali ya juu, adai kwanini hakuzuiwa bashiru, adai masauni anajipendekeza anataka urais wa zanzibar haupati ng’oo.. link👇
Mbona Maalim Seif keshafanya mikutano.mingi tu Tanzania Bara na hajakamatwa?Maalim seif akili zake azina akili
Anafanya siasa Zanzibar kwa kipindi hiki yeye ni kama nani?
haba cheo chochote pale ACT zaid ya kuitwa mshauri wa chama kama mzee makamba
Anafanyaje siasa Zanzibar wakati ACT haina hata diwani mmoja usema ni mkutano wa diwani Mm nilialikwa.
Yule mzee seif kama sio chizi basi anakalbia uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wana mashamba na ardhi hicho chao unachokisema ni kipi.
Alie pewa kapewa
Kina-Mbowe jifunzeni siasa kutoka kwa Maalim Seif,
Kule bara ndio mna mass kubwa sana ya watanzania mnaogopa nini?
Juzi nimekuoneni mkiomba poo kwa Rais inasikitisha sana sana emu jikazeni angalau mfikie hatua japo nusu ya maalim seif
Mkuu, Maalim Seif ndio yuko katika mbio za kutafuta kile ACT-wazalenzo kimekosa Pemba..Maalim seif akili zake azina akili
Anafanya siasa Zanzibar kwa kipindi hiki yeye ni kama nani?
haba cheo chochote pale ACT zaid ya kuitwa mshauri wa chama kama mzee makamba
Anafanyaje siasa Zanzibar wakati ACT haina hata diwani mmoja usema ni mkutano wa diwani Mm nilialikwa.
Yule mzee seif kama sio chizi basi anakalbia uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app
yawezekana ni chizi kama JPM hajui tofauti kati ya iraq na kuwaitMaalim seif akili zake azina akili
Anafanya siasa Zanzibar kwa kipindi hiki yeye ni kama nani?
haba cheo chochote pale ACT zaid ya kuitwa mshauri wa chama kama mzee makamba
Anafanyaje siasa Zanzibar wakati ACT haina hata diwani mmoja usema ni mkutano wa diwani Mm nilialikwa.
Yule mzee seif kama sio chizi basi anakalbia uchizi
Sent using Jamii Forums mobile app