VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

Kaomba za walutheri eeh? Aje aombe na za wapentekoste, wenye kelele wazidi kupiga kelele

Watanznia kipande cha video kinacho sambazwa kikimwomesha LOWASSA eti akiomba kura Kanisani siyo kweli hiyo ni propaganda ya ccm kupitia Polepole ambaye alitengeneza video hiyo na kuisambaza hara kwenye video , ukiisikiliza vizuri utasikia sauti mbili , kunatarifa kuwa chama kinafanya mkakati ili kimfungulie mashaka ya kutengeza video ya uchochezi , ikumbukwe kuwa video kama hii ilisha wahi kutengenezwa ikimwonesha Afisa ulinzi Wa chadema Rwakatale eti akipanga ugaidi baada ya kufuatilia ikagundulika ni video ya kutengenezwa ni lazima sote tupuuze propaganda za ccm , awali walikuja na ufisadi ,ukanda, ugonja vyote vikashindwa sasa wametingeneza video kupitia Hamfrey polepole na kuisambaza wakati huohuo wamepanga , vyombo vya habari na magazeti ya ccm yaandike haraka hizo habari, hizo ni propaganda ni lazima wapuuzwe na ccm tunawaonya kuwa kutafuta kura kwakuleta udini au ukanda hafai hiyo ni dhambi itakayo wameza,MAGAZETI YALIO ANDIKA YOTE NI YA CCM NA YOTE YANA KICHWA KIMOJA CHA HABARI,HIVYO WALIPANGA TUNAJUA SILAHA CCM WALIO BAKI NAYO NI KUTUMIA UDINI KITU AMBACHO HAWATAFANIKIAWA
 
Nchi ilipofikia sasa ukitaka mabadiliko basi upo ukawa na ukitaka kuendelea kubaki hivyo hivyo elimu duni,matibabu hovyo,uchumi umeporomoka,ajira hamna basi ww ni ccm,chagua upo upande gani?
Mabadiliko yapi unayoyasema yanapatikana UKAWA?

Naomba unionyesha niyaone au udadavue nielimike!
 
Watanznia kipande cha video kinacho sambazwa kikimwomesha LOWASSA eti akiomba kura Kanisani siyo kweli hiyo ni propaganda ya ccm kupitia Polepole ambaye alitengeneza video hiyo na kuisambaza hara kwenye video , ukiisikiliza vizuri utasikia sauti mbili , kunatarifa kuwa chama kinafanya mkakati ili kimfungulie mashaka ya kutengeza video ya uchochezi , ikumbukwe kuwa video kama hii ilisha wahi kutengenezwa ikimwonesha Afisa ulinzi Wa chadema Rwakatale eti akipanga ugaidi baada ya kufuatilia ikagundulika ni video ya kutengenezwa ni lazima sote tupuuze propaganda za ccm , awali walikuja na ufisadi ,ukanda, ugonja vyote vikashindwa sasa wametingeneza video kupitia Hamfrey polepole na kuisambaza wakati huohuo wamepanga , vyombo vya habari na magazeti ya ccm yaandike haraka hizo habari, hizo ni propaganda ni lazima wapuuzwe na ccm tunawaonya kuwa kutafuta kura kwakuleta udini au ukanda hafai hiyo ni dhambi itakayo wameza,MAGAZETI YALIO ANDIKA YOTE NI YA CCM NA YOTE YANA KICHWA KIMOJA CHA HABARI,HIVYO WALIPANGA TUNAJUA SILAHA CCM WALIO BAKI NAYO NI KUTUMIA UDINI KITU AMBACHO HAWATAFANIKIAWA

Aaa wapi! Toeni hyo clip original tuione
 


Iwe ni kweli kuwa Lowassa ameyatamka haya, au kuna watu wako na mbinu chafu za kumchafua huyu mgombea wa kwa tikiketi ya CHADEMA na UKAWA, vyovyote iwavyo kati ya hayo mawili hili si jambo zuri hata kidogo.

Sijambo zuri kwa Lowassa kutumia dini katika kufanikisha safari yake ya ikulu, si vibaya kuomba au kuombewa kuwa rais, lakini mwiko kabisa kuomba ili tupate rais muislamu au mkristo. Kama ni kweli katika video hii Lowassa amewaambia walutheri waombe ili nchi ipate rais mlutheri, huku akisema rais Mkapa na Nyerere walikuwa wakatoliki, kwa hivyo ni wakati umefika kwa rais ajaye awe mlutheri, basi lazima mgombea huyu apingwe kwa nguvu zote na watu wote wa dini zote.(walutheri nao wapinge hili)

Kama video hii ya uongo na ya kwamba imetengenezwa kwa minajiri ya kumchafua Lowassa, ni vema Lowassa akajitokeza hadharani na kukanusha, asipokanusha, kutachochea watu wa madhebu mengine ama wa dini zingine kuanza kutafuta mgombea wa kumuunga mkono ili waweze kumshinda mgombea wa walutheri, na hali itakuwa mbaya zaidi kwa waumini ha madhebu hayo mara baada ya matokeo ya kura za urais, machafuko!

Kwakuwa video hii imetoka katika tweets za January Makamba, ni ambaye yuko ndani ya serikali, ni vema naye akasema ni wapi alipoipata na kwanini hajaiwasilisha katika vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi, hii video si kupuuzwa hata kidogo, na nina shangaa kiongozi wa serikali anapoleta siasa katika video mbaya kama hii, ni siasa sababu kwa nafasi yake alitakiwa hii video haipeleke katika vyombo vya usalama badala ya kuanza kuisambaza. Ni hatari kwa kiongozi wa serikali kushiriki uchafu huu(kama kweli), tunapelekwa wapi kama nchi?

Wakati huohuo, na kama Lowassa asipokanusha, ni vema sasa tume ya uchaguzi ikatumbia kama bado Lowassa ana uhalali wa kuendelea kugombea urais wa nchi yetu.

Mwisho tukumbuke yalotokea Afrika ya kati na Rwanda, mambo ya udini na ukabila siku zote hatima yake huwa si nzuri, tuende tarehe 25 oct huku tukijikita katika siasa za masuala badala ya ukabila na udini.

Mimi ni mwanaACT-Wazalendo, chama chetu kina misingi kumi, kati ya misingi hiyo upo msingi nambari tatu, msingi ambao "unapinga ubaguzi" wa kidini, kikabila, kikanda na kijinsia, pia upo msingi wa namba kumi, msingi ambao unahimiza "umoja", sehemu ambapo pana ukabila na udini sehemu hiyo hakuna umoja, na watu wa sehemu hiyo hawawezi kuendelea hata kidogo sababu si wamoja.

Tuirudishe nchi yetu katika misingi, udini na ukabila si misingi ya nchi yetu, na hivyo basi si utanzania.

Njano5
784845394

Huyu ni mrutheri kweli!??
 
Last edited by a moderator:
Sasa Lowassa keshaitolea ufafanuzi wewe unakuja na habari ya kijinga ya video imetengenezwa na Polepole.

Huu ni mfano mzuri Ukawa na Chadema wanavyowachafua watu wasiokubaliana nao. Ndo ile dhama ya msaliti na kanunuliwa inapokuja. Sasa ukishakuwa mwongo sana unaanza kusahau uongo uliopita. Kama huyu kajitengenezea uongo kasahau Lowassa alishatuma maelezo marefu kujitetea.
 
Kauli ya mzee lowasa kuhusu tuhuma za udini,mzee lowasa anapenda kuwahakikishia watanzania kuwa yeye si mdini,mzee amesema hizo ni siasa za kuchafuana,watu wanakaa na kubuni kitakacho mchonganisha na watanzania,"ninashirikiana,ninawapenda na kuwaheshimu watu wote bila kujali ukabila,cheo,imani,jinsia,rangi utaifa nk, wapuuzeni watu wote wanaoongelea mambo kama hayo,tunaemtafuta ni rais wa tanzania,sio rais wa dini,jinsia kabilia nk,ni muhimu katika kumtafuta rais wetu tuheshimiane na tuwaheshimu watanzania"mzee lowasa amewaomba watanania wote kwa imani zao wamuombee.pia mzee ameomba kila mtu mwenye kuijua kero inayohusu mifumo mbalimbali aiwasilishe hapa,MUNGU akipenda atakapochaguliwa kwa haraka aanze kuzishughulikia,mzee ametoa mfano,"wateja wa shirika la umeme Tanesco kulazimika kununua nguzo ili waunganishiwe umeme na baada ya kuunganishiwa wateja hao wanakuwa hawana uamuzi na ununuzi huo badala yake shirika hilo bila aibu linazitumia nguzo kuunganishia wateja wengine na kujiingizia mapato"mzee anaona huu ni unyonyaji,"MUNGU akinijalia mkanicchagua nitaangali jinsi ya kuwarudishia pesa zao wateja wote waliokumbwa na unyonyaji huo,au naweza kuiamuru tanesco iwafidie umeme watu hao"mzee amesema,toweni kero mbali mbali iliaweze kuzijua maana yeye hawezi kuzijuwa zote,ameongeza,anajuwa jinsi watu wanavyo pata taabu wanapo taka kuingia maeneo ya posta kwa kulipia usafiri ambao unaishia mnazi mmoja na inawabidi walipie tena usafiri wa kuwafikisha posta hilo ataliondoa mara moja.rafiki zake wakubwa wa bodaboda wataruhusiwa kuingia mpaka maeneo ya posta bila kubughudhiwa.mzee ameomba kila mwenye mapenzi mema na nchi yake amuombee kura bida kutumia lugha zisizo faa,"niombeeni kura kwa njia ya kistaarabu na kuzingatia sheria za nchi,waheshimuni watu,heshimianeni,na wote kwa imni zetu tumuheshimu MUNGU,sijibu matusi hata kama tusi hilo limeelekezwa kwako""kuhusu mimi kutumia muda mchache kuongea,hayo ndiyo mabadiko yenyewe sihitaji kuwachosha watanzania kwa kuongea sana na hiyo mtaiona zaidi mkinichagua,sintokuwa muongeaji nikishirikiana na kila mtanzania tutafanya kazi usiku na mchana ili maendeleo yaonekane kuanzia kwenye kaya mojamoja huko mtaani,sasa mnaambiwa uchumi umekuwa lakini huko mtaani hali ni mbaya sana,tunataka nitakapo sema uchumi umekuwa kila mtanzania aone kuna unafuu katika maisha yake.naomba msaada wenu wa kuniombea kura Namuomba MUNGU awasaidie ukombozi wa nchi yetu niwa kila mtanzania chagua mabadiko mchague Edward N Lowasa,MUNGU IBARIKI TANZANIA msemaji wa mzee
 
Watanznia kipande cha video kinacho sambazwa kikimwomesha LOWASSA eti akiomba kura Kanisani siyo kweli hiyo ni propaganda ya ccm kupitia Polepole ambaye alitengeneza video hiyo na kuisambaza hara kwenye video , ukiisikiliza vizuri utasikia sauti mbili , kunatarifa kuwa chama kinafanya mkakati ili kimfungulie mashaka ya kutengeza video ya uchochezi , ikumbukwe kuwa video kama hii ilisha wahi kutengenezwa ikimwonesha Afisa ulinzi Wa chadema Rwakatale eti akipanga ugaidi baada ya kufuatilia ikagundulika ni video ya kutengenezwa ni lazima sote tupuuze propaganda za ccm , awali walikuja na ufisadi ,ukanda, ugonja vyote vikashindwa sasa wametingeneza video kupitia Hamfrey polepole na kuisambaza wakati huohuo wamepanga , vyombo vya habari na magazeti ya ccm yaandike haraka hizo habari, hizo ni propaganda ni lazima wapuuzwe na ccm tunawaonya kuwa kutafuta kura kwakuleta udini au ukanda hafai hiyo ni dhambi itakayo wameza,MAGAZETI YALIO ANDIKA YOTE NI YA CCM NA YOTE YANA KICHWA KIMOJA CHA HABARI,HIVYO WALIPANGA TUNAJUA SILAHA CCM WALIO BAKI NAYO NI KUTUMIA UDINI KITU AMBACHO HAWATAFANIKIAWA

Kawadanganye wasiojua video editing na kwakuwa wako wengi wataamini kwamba hiyo video imekuwa edited wakati hakuna kiashiria chochote ndani yake cha kusema imepandishiwa sauti, namna pekee ile video kutengenezwa labda useme yule mtu anayeongea ni katuni amechorwa acheni kupumbaza umati nyie msiotakia wengine mema.
 
kuomba waumini wenzako wakuombee ni jambo baya?,kwanini wame-delete clip ya mbele yake?.kwanini hawataki tujue muendelezo wa maongezi ya EL kuomba waumini wenzake wamuombee?.
 
Umeongea vzr sana Dotto na Mh alishakanusha hiyo clip lkn ili haki itendeke pande zote ni vema uchunguzi ufannyike na hatua stahiki zichukuliwe kwakua hiyo ni mbinu chafu na hatari kwa vyovyote vile itakavyokua.
 
kuomba waumini wenzako wakuombee ni jambo baya?,kwanini wame-delete clip ya mbele yake?.kwanini hawataki tujue muendelezo wa maongezi ya EL kuomba waumini wenzake wamuombee?.

CCM hawamependi Lowasa, hawapendi aongoze maana atafichua kila ovu lao...
Hawapendi aongoze maana kuna watu wataishia gerezani..
Hawapendi aongoze maana wanajua ataleta maendeleo
 
Nchi yetu haina udini wala ukabila wala ukanda ila sisiem lowasa ndo dawa yenu mwaka huu....#tupotayari mabadiliko2015 lowassa ur vote
 
Kwa hili la udini Lowassa ameisukumia Chadema kaburini
Edward Lowassa amewasaidia watanzania kwa kuwadhihirishia hofu yao ya siku nyingi. Kuwa ni hofu ya kweli kuwa chadema wakiingia madarakani wataigawa nchi kwa misingi ya ukanda na udini pia. Ajabu zimepita saa zaidi ya 72 uongozi wa chadema ukiongozwa na Freeman Mbowe haujatoka hadharani kujitenga na kauli ya Lowasa kanisani, kuwa sasa ni dhamu ya walutheli kuongoza nchi. Kwa chadema kukaa kimya ina maana chama hicho kipo pamoja na mgombea wao urais ktk mtazamo huo. Wakifumbia macho hilo chadema na ukawa sasa wasubiri adhabu kali itakayotolewa kwao na Watanzania oktoba 25. Mimi huku tandahimba naishi na majirani waluteli. Ukweli hata jirani zangu walutheli wamechukizwa sana na kauli hii ya kibaguzi ya lowasa. Sidhani kama watampigia kura lowasa kwa kuwaambia ni zamu ya walotheli kutawala. Jamani, nimeanza sasa kuamini nyerere aliona mbali. Alituonya zamani kwa kusema ' mtu akishafilisika kisera, akishafirisika kichwani, atatafuta jinsi ya kujihalalisha. Atajihalalisha kikabila, atajihalalisha kikanda, utanganyika na uzanzibar. Tunataka rais asiwe mkabila wala mdini. Hatuchagui mtu kwa sababu ya kabila lake wala dini yake. Mtu akishaanza kubagua hivi huyo ni mkaburu' alisema nyerere.
Kwa haya tuliyoyasikia kutoka kwa lowasa watanzania tuwe mbali na hii ' Ikulu Company Limited' ambayo kwa sasa project yao kubwa ni kwenda ikulu kwa namna zote wakiongozwa na Mbowe, Lowasa, Sumaye. Kwetu watanzania huu ni ubia wa kibiashara wenye kututia mashaka makubwa. Ewe mola wetu utuepushe na balaa lililo mbele yetu.
Amina.
 
Back
Top Bottom