Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,114
- 219,217
Hii ni aibu sana. Hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha, hawa ndio walokole wa Tanzania! Noma sana. Kumbe wanapigiana simu gizani!
Zaidi soma: RC Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni