Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,123
Babake.
Daaahh
Daaahh
Pepo lake la uzinzi limepanda anatafuta mtu wa kumpelekea moto.
Gwajima alikuwa akiongea na familia yake, alikuwa kaiongea na marafiki zake, alikuwa akiongea na watu wake. Hao aliokuwa akiongea nao walimwelewa. Hiyo ni lugha ya kwao wewe kama si mmoja wao huwezi kuielewa.Katika video hapo chini ASKOFU mkuu makanisa ya ufufuo na uzima anaonekana akitoa sauti zisizoeleweka ambazo mim kama muumini wa dini ya kikristo SIJAMUELEWA alichojaribu kumaanisha.
Naomba ufafanuzi.
View attachment 1870438
Mmeanza kujitokeza ..HIV Yale mauno yake kama papa wemba hua unayaelewa pia?Gwajima alikuwa akiongea na familia yake, alikuwa kaiongea na marafiki zake, alikuwa akiongea na watu wake. Hao aliokuwa akiongea nao walimwelewa. Hiyo ni lugha ya kwao wewe kama si mmoja wao huwezi kuielewa.