ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
ni ya mwaka jana sijui juzi lakini embu angalia kiburi cha huyu kijana,jaaamani%$%#$%&^%&%^
,na hata ningekuwa ke angenifanya nini zaidi ya kupiga ndolez na kuhonga brevis kama mama biko,hata machine haikuingizwaKwan wewe ni Ke! Mbona unamfuatafuata sana Mzee wa Kolomije
Yaani fadhila zote anazo zifanya kusaidia mkoa wa dar na hata kusaidia wakina mam wajane leo hio una mtusi we ni mjinga sanaYule jamaa alikua anaandika nondo heavy halaf anamalizia na
"Swali la kizushi lililozagaa kila kona hapa nchini; Je hivi Bashite anampa nini Pombe mpaka hajitambui? Daudi Albert Bashite anatakiwa awe Gerezani sio ofisini"
Labda anakusadia mkeoYaani fadhila zote anazo zifanya kusaidia mkoa wa dar na hata kusaidia wakina mam wajane leo hio una mtusi we ni mjinga sana
Mi sio mjinga hata kidogo nlikua nanukuu maneno ya yule tanzagiza nadhani umenielewaYaani fadhila zote anazo zifanya kusaidia mkoa wa dar na hata kusaidia wakina mam wajane leo hio una mtusi we ni mjinga sana