VIDEO: Kakobe aongoza maandamano ya Kanisa lake

VIDEO: Kakobe aongoza maandamano ya Kanisa lake

Mhabarishaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2010
Posts
1,007
Reaction score
601
Tarehe 2.8.2014, Askofu Mkuu Zachary Kakobe aliongoza maandamano ya kusherehekea miaka 25 ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (1989-2014). Maandamano hayo yaliyojulikana kama "Matembezi ya Shukrani" yamekuwa gumzo kubwa katika Jiji la Dar-es-Salaam kutokana na umati mkubwa wa waumini wa Kanisa hili kutoka kote nchini walioshiriki maandamano hayo, na zaidi sana kutokana na kuonekana hadharani kwa Kakobe ambaye alizushiwa kwamba alitoroka nchini na eti "aliliuza Kanisa lake".
 
Last edited by a moderator:
Hili ni sahihi kuadhimisha miaka 25 maana amepita kwenye misukosuko mingi sana.Hongera Askofu Kakobe Mimi nakupongeza kwa kuwa umetokea mbali sana hadi hapo ulipo.Hongera sana
 
What impact has he made to the society
Mchango wa Kakobe una impact Kubwa sana kwenye mtanzamo wa jamii hasa katika mambo nyeti kama katiba na hata CCM na Ikulu wamekuwa wanamualika mara kwa mara lakini haendi!!
Kumbuka mchango wa kakobe kwa taifa katika Mambo yafuatayo:
1.Tafuta CD ya kiti moto
2.Tafuta CD ya elimu ya mpiga kura 2010
3.Tafuta CD elimu ya Rushwa
4.Tafuta CD ya Tanganyika

1.Kakobe asingekuwa na Mchango katika taifa Ikulu ya Kikwete wasinge mwalika
2.Umati uano onekana katika CD hiyo ni zaidi ya watu 10,000 na ni sehemu ndogo tu ya watu zaidi ya 10,000,000 wanaomuunga mkono Tanzania .
Kumbuka ni watu 8,000,000 waliomuweka Kikwete Madarakani na hiyo idadi ni baada ya kuiba kura!
Sasa wewe una ujasiri wa Kumubeza Kakobe???
 
Ili iweje...

Wote mliozusha kwamba Kakobe alitoroka nchini na Kanisa lake kusambaratika, ni vema tu kukiri kiutuuzima kwamba mmeumbuka!!!!! UONGO HAULIPI!!! Na tena, NJIA YA MWONGO NI FUPI!!!! Kakobe ni Nguvu Kubwa!!! Ninawapa ushauri wa bure, "If you can't fight him, join him!"
 
Mchango wa Kakobe una impact Kubwa sana kwenye mtanzamo wa jamii hasa katika mambo nyeti kama katiba na hata CCM na Ikulu wamekuwa wanamualika mara kwa mara lakini haendi!!
Kumbuka mchango wa kakobe kwa taifa katika Mambo yafuatayo:
1.Tafuta CD ya kiti moto
2.Tafuta CD ya elimu ya mpiga kura 2010
3.Tafuta CD elimu ya Rushwa
4.Tafuta CD ya Tanganyika

1.Kakobe asingekuwa na Mchango katika taifa Ikulu ya Kikwete wasinge mwalika
2.Umati uano onekana katika CD hiyo ni zaidi ya watu 10,000 na ni sehemu ndogo tu ya watu zaidi ya 10,000,000 wanaomuunga mkono Tanzania .
Kumbuka ni watu 8,000,000 waliomuweka Kikwete Madarakani na hiyo idadi ni baada ya kuiba kura!
Sasa wewe una ujasiri wa Kumubeza Kakobe???

hizi data za ku google ni shida sana!
 
hizi data za ku google ni shida sana!
hizi data si za Ku google nenda kila ofisi ya CCM, Kila mahali penye ofisi ya dola zipo !!
Mtu asikudanganye pale mwanzo walificha mkanda wa Kiti moto lakini hizo data zote zipo na zinajulikana
Ndo maana hofu kubwa ya CCM ni kwamba Kakobe ni hatari kwa Uhai wa Chama chao na utawala wao!
Kwa mfano ukiangalia hoja ya kakobe Kuhusu Tanganyika hakuna kiongozi wa CCM wala Kiongozi wa Serikali wala Kiongozi wa dini ambaye amejitokeza kujibu hoja za Kakobe na wala hatajitokeza na wala hawajua hoja hizo
 
Brainwashed fellow
Kama mtu anafuata CCM sasa hivi ni kama wewe angalia walioshauliwa na CCM Kuingia kwenye Bunge la katiba kila mtu ana wa ona Brain Washed follower na hata wao wanakataa kuingia humo.
Wewe unaye washangalia huna tofauti na hao na ndo Maana unampinga Kakobe
 
Back
Top Bottom