Video: Kagame ajibu kuhusu M23

Video: Kagame ajibu kuhusu M23

Lukolo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2009
Posts
5,143
Reaction score
3,210
Wataalamu wa uchambuzi wa mambo zichambueni hizi kauli za Kagame.

 
Last edited by a moderator:
Anajaribu kujitetea kwa kukanusha ukweli na kuilaumu serikali ya Congo pamoja na nchi za magharibi. Nachoona hapa ni kwamba atasitisha msaada na M23 watapotea (watarudi kwenye makambi Rwanda). Huo ndio utakua mwisho wa M23.
 
Mh,MUNGU tusaidie.Mambo ya taarabu ya Rais huyu anasema na Rais yule anajibu yanaweza kuleta madhara kwa wasiohusika.Idd Amin (DADA) aligharimu maisha na kubadirisha kabisa historia yetu na uganda.vita mnapigana na kuzaa vilema,wajane,yatima na kuzalisha masikini wengi na watu wengine kufanya biashara.Maneno hayaui,ache aseme basi muda wake ukiisha atatoka tu.
 
We angalia hao maofisa wawili wa kizungu na mmoja wa JWTZ wanavyomwangalia ... @6:32
 
Mh,MUNGU tusaidie.Mambo ya taarabu ya Rais huyu anasema na Rais yule anajibu yanaweza kuleta madhara kwa wasiohusika.Idd Amin (DADA) aligharimu maisha na kubadirisha kabisa historia yetu na uganda.vita mnapigana na kuzaa vilema,wajane,yatima na kuzalisha masikini wengi na watu wengine kufanya biashara.Maneno hayaui,ache aseme basi muda wake ukiisha atatoka tu.

Mkuu kiagata hii link iliowekwa hapa ni ya zamani, wala hayo yaliongelewa humu kwenye hii video hayahusiani na mgogoro uliopo sasa hivi kati ya PK na JK.
 
Mh,MUNGU tusaidie.Mambo ya taarabu ya Rais huyu anasema na Rais yule anajibu yanaweza kuleta madhara kwa wasiohusika.Idd Amin (DADA) aligharimu maisha na kubadirisha kabisa historia yetu na uganda.vita mnapigana na kuzaa vilema,wajane,yatima na kuzalisha masikini wengi na watu wengine kufanya biashara.Maneno hayaui,ache aseme basi muda wake ukiisha atatoka tu.
Hii video siyo mpya, ina muda kidogo.
 
Ukimsikiliza hapo 04:30 - 5:00 unaona alipomchota Uhuru Kenyatta.
 
we angalia hao maofisa wawili wa kizungu na mmoja wa jwtz wanavyomwangalia ... @6:32

kagame ni mfa maji na kamwe hataacha kutapatapa, kilichobaki asubiri tu hasira za watanzania! Vita haikwepeki kwa kulinda amani na utaifa wetu, kagame kapenyeza mamluki wengi sana , vita ni njia pekee ya kuvuruga mipango yao kabla hawajawa hatari kwa nchi yetu.
 
I can smell Kagame's fear in this Speech....
 
UN nao mabwege sana bana..issue ya DRC ya miaka kibao wanahangaika tu ku deal nayo maana yake nini
 
UN nao mabwege sana bana..issue ya DRC ya miaka kibao wanahangaika tu ku deal nayo maana yake nini

UN ni America so America wana interest zao Congo na ndio wamesababisha DRC ifike ilipofika kwa sababu ya kumsuport huyo ----- Kagame na Mseven,sasa wanajifanya eti ooooh sijui stop killing people wakati wao wanajua kabisa ndiyo waliosababisha.I hate American even though ni super power maana kila instability ya Africa 90% wapo nyuma yake.Anzia DRC, njoo Rwanda genocide 1994, nenda Libya, Misri kote huko kuna mkono wa Mumarekani
 
Anaikebehi un sio tanzania, angalao kwa hotuba hii nitakuwa fair kwa sababu nimeona na kuisikia mwenyewe, sasa ni jukumu la un yenyewe kumchukulia hatua sio sisi watanzania.
 
Mkuu kiagata hii link iliowekwa hapa ni ya zamani, wala hayo yaliongelewa humu kwenye hii video hayahusiani na mgogoro uliopo sasa hivi kati ya PK na JK.
Noted! Nafikiri hapa yeye aliwatuhumu UN na DRC.
 
Wataalamu wa uchambuzi wa mambo zichambueni hizi kauli za Kagame.


Mi naona ni Mlevi moja tu anaongea bila kuweka facts na background ya kutosha.
1. Bosco Ntaganda yupo wapi kwa sasa?
2. Kuna mwingine Laurent Nkunda naye yupo Rwanda.
3. Mwl kabla ya Kufariki na Juvenali Habyerimana Kiongozi wa Rwanda Arusha alikuwa anatoka kufanya Nini? mbona Habyerimana alilazimishwa kuongealea tatizo la Watusi? na Kikwete wakati huo alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Sasa wao mbona hawataki kuzungumzia Haki za Wahutu?
4.Kuhusu nchi jirani kuwahifadhi negative forces kama wanavyo watuhumu DRC, mbona na wao walitokea Uganda, Basi leo hii tuwalaumu waganda?
5. Je wahutu walio wengi lini watapata haki zao Rwanda, au wao ni kutawaliwa tu? na hao waliokimbilia DRC iwe FDR wao hawa ruhusiwi kupigania haki za watu wao? au hii label ya kuhusika na Genocide ndio inayo wazui wasifanye hivyo. Nbona wao walimuua Habyerimana ndio ikapelekea hayo Mauwaji? mbona wao hawajisalimishi?
 
Last edited by a moderator:
Mi naona ni Mlevi moja tu anaongea bila kuweka facts na background ya kutosha.
1. Bosco Ntaganda yupo wapi kwa sasa?
2. Kuna mwingine Laurent Nkunda naye yupo Rwanda.
3. Mwl kabla ya Kufariki na Juvenali Habyerimana Kiongozi wa Rwanda Arusha alikuwa anatoka kufanya Nini? mbona Habyerimana alilazimishwa kuongealea tatizo la Watusi? na Kikwete wakati huo alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje.
Sasa wao mbona hawataki kuzungumzia Haki za Wahutu?
4.Kuhusu nchi jirani kuwahifadhi negative forces kama wanavyo watuhumu DRC, mbona na wao walitokea Uganda, Basi leo hii tuwalaumu waganda?
5. Je wahutu walio wengi lini watapata haki zao Rwanda, au wao ni kutawaliwa tu? na hao waliokimbilia DRC iwe FDR wao hawa ruhusiwi kupigania haki za watu wao? au hii label ya kuhusika na Genocide ndio inayo wazui wasifanye hivyo. Nbona wao walimuua Habyerimana ndio ikapelekea hayo Mauwaji? mbona wao hawajisalimishi?
Nani alikuambia wahutu hawana haki Rwanda au FDLR wanapigania haki za wahutu?na habyarimana hakuuwawa na kina Kagame(France expert report) so acha uwongo,na hujui hata Ntaganda yuko wapi? Habyarimana alikubali kuoingea baada ya kupoteza nusu ya nchi na kuelekea kushinda alikuwa hana choice...you are just bias and clueless!
 
Nicholas rais wako mbona anawakana huku ...
Mkuu mhabarishe huyo jamaa maana yeye sio mzalendo kabisa, hasa kwenye mambo haya yeye ataleta Siasa na upinzani wa kila kitu, PK wao sasa kanywea na wanaondoka huko Biharamulo, maana kanali Massawe hacheki na wahuni hao.
 
Back
Top Bottom