Hajulikani mwenye tatizo hamna aliyewahu kusena hadharani mwenzake alimkosea nini zaidi ya mastory ya town na post za ruby za kiwatupia vijembe...Nimekuuliza ni nani mwenye tatizo? Umeshindwa kusema ni nani mwenye tatizo. Halafu hapo hapo unamhukumu Ruby.
Kwani ukiwa muimbaji lazima uwe unaandika nyimbo. Kwanini Clouds watumie nguvu waliyonayo kumnyanyasa asiye na uwezo?
Nakuuliza tena Kati ya Ruby na Clouds nani mwenye matatizo? Kama hujui chochote huna haki ya kuhukumu.
Tatizo la Ruby siyo kuandikiwa nyimbo. Ruby alichafuliwa image yake kwenye jamii na wale wanaosema kataa kuwa kaa kwa kutumia media yao. Kwa sababu wao wanauwezo basi walitumia hiyo kama fimbo ya kumwadhibu kwa kumuharibia image. Kutumia pesa kulipa watu kwenye mitandao kwaajili ya kuharibu image ya mtu. Hii ni kazi ya kaa.Hajulikani mwenye tatizo hamna aliyewahu kusena hadharani mwenzake alimkosea nini zaidi ya mastory ya town na post za ruby za kiwatupia vijembe...
Sijasema kuandikiwa ni tatizo hata nandy anaandikiwa nyimbo zote, ben paul moyo mashine kaandikiwa ila nilichosema ukikorofishaba na mtu kuna mambo aliyokuwa anakufanyia hawezi kuendelea kukufanyia so ruby atafute mwandishi mwingine wa mashairi na melody nzuri.
Kwani ni lazima nyimbo zake kupigwa clouds?Tatizo la Ruby siyo kuandikiwa nyimbo. Ruby alichafuliwa image yake kwenye jamii na wale wanaosema kataa kuwa kaa kwa kutumia media yao. Kwa sababu wao wanauwezo basi walitumia hiyo kama fimbo ya kumwadhibu kwa kumuharibia image. Kutumia pesa kulipa watu kwenye mitandao kwaajili ya kuharibu image ya mtu. Hii ni kazi ya kaa.
Ruby kaharibiwa image yake na wengi walipitiwa na mkumbo huo. Na kuanza kumtukana mtoto wa watu bila sababu
Walimchafuaje mkuu?Tatizo la Ruby siyo kuandikiwa nyimbo. Ruby alichafuliwa image yake kwenye jamii na wale wanaosema kataa kuwa kaa kwa kutumia media yao. Kwa sababu wao wanauwezo basi walitumia hiyo kama fimbo ya kumwadhibu kwa kumuharibia image. Kutumia pesa kulipa watu kwenye mitandao kwaajili ya kuharibu image ya mtu. Hii ni kazi ya kaa.
Ruby kaharibiwa image yake na wengi walipitiwa na mkumbo huo. Na kuanza kumtukana mtoto wa watu bila sababu
Kwahiyo clouds waliingia kwenye account ya insta ya Ruby wakaandika maneno ya kijikashfu wenyewe?Tatizo la Ruby siyo kuandikiwa nyimbo. Ruby alichafuliwa image yake kwenye jamii na wale wanaosema kataa kuwa kaa kwa kutumia media yao. Kwa sababu wao wanauwezo basi walitumia hiyo kama fimbo ya kumwadhibu kwa kumuharibia image. Kutumia pesa kulipa watu kwenye mitandao kwaajili ya kuharibu image ya mtu. Hii ni kazi ya kaa.
Ruby kaharibiwa image yake na wengi walipitiwa na mkumbo huo. Na kuanza kumtukana mtoto wa watu bila sababu
Msanii Ruby ameonyesha kufurahi sana baada ya mzungu kutoka italy akiimba wimbo wa ruby akapela uitwao na Yule. Rubby amepost akionyesha kufurahia sana. Wazungu wa Italy waliupokea vizuri sana wimbo huo hata na wengine kuimbaimba na kupost videos kuonyesha upendo kwa msanii huyo. Hii ni moja ya video ya mzungu kutoka Italy akiuimba japo hajui kiswahili..
ruby mashineNimekuuliza ni nani mwenye tatizo? Umeshindwa kusema ni nani mwenye tatizo. Halafu hapo hapo unamhukumu Ruby.
Kwani ukiwa muimbaji lazima uwe unaandika nyimbo. Kwanini Clouds watumie nguvu waliyonayo kumnyanyasa asiye na uwezo?
Nakuuliza tena Kati ya Ruby na Clouds nani mwenye matatizo? Kama hujui chochote huna haki ya kuhukumu.
wale jamaa wa kaa wachawi sana, wanasahau walivyo mfanyie JD na sama Mau kisa kagoma kutumika kudhulumiwa. Sugu aliwaweza na kinega yake mpaka Ruge akaomba poo !Ruby yuko vizuri waache kuwa kama kaa kumshusha kwa nguvu.
Hao jamaa wa kaa hatari sana !Ku fall kwa Rubby na ku rise kwa Nandy...ukileta za kuleta unazimwa kama taa
Hao jamaa wa kaa ni Mh. Sugu tu ndo aliwaweza kwa ku mobilize wale wote waliokuwa wanaonewa Clouds, 'vinega' !Tatizo la Ruby siyo kuandikiwa nyimbo. Ruby alichafuliwa image yake kwenye jamii na wale wanaosema kataa kuwa kaa kwa kutumia media yao. Kwa sababu wao wanauwezo basi walitumia hiyo kama fimbo ya kumwadhibu kwa kumuharibia image. Kutumia pesa kulipa watu kwenye mitandao kwaajili ya kuharibu image ya mtu. Hii ni kazi ya kaa.
Ruby kaharibiwa image yake na wengi walipitiwa na mkumbo huo. Na kuanza kumtukana mtoto wa watu bila sababu
Ruge anakufitinisha na wanao kupa support. Kama kuna pruducer au studio inakubeba, basi wanawabania kazi zao zote au kuwashauri wamteme.Kwani ni lazima nyimbo zake kupigwa clouds?
Mpaka uwe mtu wa insta. ndo utajuaWalimchafuaje mkuu?
Sijawahi sikia wanamuongelea zaidi ya kutopiga kazi zake labda unihabarishe huenda sijaskia..
Ruby mbona niliona anafanyiwa interview itv, eatv, efm anazindua nyimbo sasa kama na hao hawazipigi kosa la nani?
Last time alikuwa eatv the itv akazindua wimbo wake wa singeri zaidi ya siku hiyo sijawahi kuuskua tena
Ruge alipogombana na jay d, jay d alikuwa anafanya kazi wa man walter, bado man walter alikuwa anafanya kazi na ommy dimpoz kama tupogo, baadae, ule wimbo wa ommy na vanessa zote man walter na bado clouds walizipiga bila kujali ndiyo producer wa jay d.Ruge anakufitinisha na wanao kupa support. Kama kuna pruducer au studio inakubeba, basi wanawabania kazi zao zote au kuwashauri wamteme.
Fanya kunihabarisha sasa kama ambavyo watu wanavyotoa habari insta au redioni wakazileta hapaMpaka uwe mtu wa insta. ndo utajua
Tulia wakati unaandika !Ruge alipogombana na jay d, jay d alikuwa anafanya kazi wa man walter, bado man walter alikuwa anafanya kazi na ommy dimpoz kama tupogo, baadae, ule wimbo wa ommy na vanessa zote man walter na bado clouds walizipiga bila kujali ndiyo producer wa jay d.
Hata sasa man walter ni producer wa alikiba na nyimbo za alikiba zinapigwa japokuwa alikiba alikuwa yuko chini ya management moja na jay d.
Sometimes mziki na mashabiki wanamkataa mtu tu, amini hajawahi gombana na clouds, kawaabdikia wasanii kibao nyimbo na zimehit ila yete siku hizi kaisha au unataka kusema naye anabaniwa? Au hajui kuimba?
Nakubaliana Na WeweNdio hayo tunayoyasema. Nandy hawezi kumkaribia hata kidogo Ruby. Tatizo kuna wachache wameshikilia mziki wanafanya juu chini kumshusha mtoto wa watu huku kwenye public wakihubiri kataa kuwa kaa. Huu ni uhuni.
Halafu hukumalizia baada ya hapo sugu akawafanyaje wenzake?Hao jamaa wa kaa ni Mh. Sugu tu ndo aliwaweza kwa ku mobilize wale wote waliokuwa wanaonewa Clouds, 'vinega' !
Hiyo kitu ilimtisha sana Ruge. Akaomba poa !
Kifupi Ruge ana roho mbaya !