Video: huyu kiumbe amenifikirisha sana

Video: huyu kiumbe amenifikirisha sana

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,317
Je kuna kitu tume fichwa?

Kiumbe huyu amenifanya nifikiri kwamba maandiko yanayo sema binadamu ali umbwa kwa sura na mfano wa Mungu yali potoshwa kwa sababu maalumu naukweli ni kwamba " binadamu ali " undwa" sio " umbwa " kwa taswira na mfano wa sokwe mtu"


USHAHIDI WA HOJA HII:

Ukiweka ulevi pembeni ni sahihi zaidi kusema binadamu anafanana na.sokwe kuliko kusema binadamu anafanana na Mungu.

Hata DNA ya sokwe ina match na DNA ya binadamu kwa asilimia tisini na nane.


Inawezekana kweli binadamu alikuwa genetically modified kwa ku manipulate apes DNA with some Alliens DNs.

Kiumbe huyu amenifanya ni tafakari kwamba andiko linalo patikana katika Kitabu cha Mwanzo 3:19 linalosema " kwa jasho lako utakula chakula hata utakapo irudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa , kwa maana u mavumbi wewe nawe mavumbi utarudi" lili potoshwa kwa sababu maalumu na kwamba lilipaswa kuwa " kwa jasho lako utakula chakula hata utakapo irudia hali unyani ambayo katika hiyo ulitwaliwa kwa maana u nyani wewe nawe katika unyani utarudi"

Yani mfano wa hilo andiko ni sawa wewe jamaa unaishi zako masaki halafu ukakutana na demu ambiance ukampenda malaya ukamtoa kwenye umalaya ukamuoa na kwenda kuishi nae masaki then baadae akakuzingua na wewe ukamwambia * nakurudisha huko ambiance nilipo kutoa kwa sababu wewe ni malaya na ambiance ndipo nilipo kutoa na ambiance ndipo utakapo rejea kwa sababu u malaya wewe"
Ni mifano inayo endana na hiyo

Wakuu nipo natafakari kitu kuhusu huyu kiumbe
 

Attachments

  • Screenshot_20220915-194845.png
    Screenshot_20220915-194845.png
    25.3 KB · Views: 18
  • 307329480_3254043441591502_8359848966886344298_n.mp4
    7.9 MB
Kwahiyo huyo nyani aliumbwa kwa mfano wa nani?
 
Video yenyewe ndio hii hapa wajameni
 

Attachments

  • 307329480_3254043441591502_8359848966886344298_n.mp4
    7.9 MB
Mwingine huyu hapa
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    32.7 KB · Views: 11
Ukirudia kusoma alichoandika mara mbili au tatu ukalala, ukiamka ukasoma tena utagundua ilichotaka kuandika na ulichoandika ni vitu viwili tofauti
 
Ukirudia kusoma alichoandika mara mbili au tatu ukalala, ukiamka ukasoma tena utagundua ilichotaka kuandika na ulichoandika ni vitu viwili tofauti
Aisee unajua mpaka ninacho waza. Wewe jamaa mganga nini?
 
Mb 800 bando la wiki acha video inipite bando langu lisurvive hata siku 3
 
Back
Top Bottom