ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Awali nilitangaza kumchagua Magufuli kwa hoja hizi:-
1. SGR
2. Nyerere dam
3. Barabara za mikoa iliyotengwa kama kigoma kwetu ambapo bado km 180 hivi kuunganishwa na lami
4. Kuhamia dodoma
Miradi yote hii mikubwa naamini ni Magufuli pekee ameianzisha na naamini ndiye ataikamilisha kwa ufanisi.
Hata hivyo, kwa kuwa Magufuri ni muumini wa siasa za fujo ama kwa kujua au kutokujua na kupelekea yafuatayo:-
1. Misafara ya Lissu kukosa coverage kama Magufuli
2. Misafara ya Lissu kunyimwa fursa sawa na Magufuli. Magufuli anasimama popote, bila kujali ratiba, Lisu kajaribu kafungiwa
3. Misafara ya Lissu kupigwa mawe, wagombea ubunge kupigwa mawe na wengine kuumizwa, mara nyingi vurugu hizi huratibiwa na ma DC
4. Na manyanyaso yote wanayofanyiwa wasio wa CCM.
Nimeghairi sasa ntawachagua hawa watu. Lengo ni:-
1. Tuone sera zao kwa miaka mitano
2. Katiba mpya
3. CCM na wao wawe chama cha upinzani waone taabu za kuwa wapinzani. Najua chadema wametangaza kutolipiza kisasi.
5. Serikali kamili za majimbo, zinazopatikana kwa ridhaa ya wanachi na siyo maamuzi ya mtu mmoja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
1. SGR
2. Nyerere dam
3. Barabara za mikoa iliyotengwa kama kigoma kwetu ambapo bado km 180 hivi kuunganishwa na lami
4. Kuhamia dodoma
Miradi yote hii mikubwa naamini ni Magufuli pekee ameianzisha na naamini ndiye ataikamilisha kwa ufanisi.
Hata hivyo, kwa kuwa Magufuri ni muumini wa siasa za fujo ama kwa kujua au kutokujua na kupelekea yafuatayo:-
1. Misafara ya Lissu kukosa coverage kama Magufuli
2. Misafara ya Lissu kunyimwa fursa sawa na Magufuli. Magufuli anasimama popote, bila kujali ratiba, Lisu kajaribu kafungiwa
3. Misafara ya Lissu kupigwa mawe, wagombea ubunge kupigwa mawe na wengine kuumizwa, mara nyingi vurugu hizi huratibiwa na ma DC
4. Na manyanyaso yote wanayofanyiwa wasio wa CCM.
Nimeghairi sasa ntawachagua hawa watu. Lengo ni:-
1. Tuone sera zao kwa miaka mitano
2. Katiba mpya
3. CCM na wao wawe chama cha upinzani waone taabu za kuwa wapinzani. Najua chadema wametangaza kutolipiza kisasi.
5. Serikali kamili za majimbo, zinazopatikana kwa ridhaa ya wanachi na siyo maamuzi ya mtu mmoja
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app