MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,996
Hotuba inayogusa mtazamo na mpango wa serikali katika Sera ya Nishati.
Hotuba anayogusia Sheria ya Umeme ya mwaka 2008 na pia mpango wa Mabadiliko ya Sekta ya Nishati (Electricity Sector Industry Reform) ya mwaka 2014.
Hotuba inayogusa matarajio ya serikali katika kuhakikisha Watanzania wananufaika na Nishati.
Ni hotuba inayogusia hatima ya IPTL na wawekezaji wengine kwenye sekta ya Nishati.
Hotuba inayogusa sababu ya Rais Magufuli kumteua Prof. Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini.
Hotuba inayogusa sababu ya kumteua Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.
Hotuba anayogusia Sheria ya Umeme ya mwaka 2008 na pia mpango wa Mabadiliko ya Sekta ya Nishati (Electricity Sector Industry Reform) ya mwaka 2014.
Hotuba inayogusa matarajio ya serikali katika kuhakikisha Watanzania wananufaika na Nishati.
Ni hotuba inayogusia hatima ya IPTL na wawekezaji wengine kwenye sekta ya Nishati.
Hotuba inayogusa sababu ya Rais Magufuli kumteua Prof. Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini.
Hotuba inayogusa sababu ya kumteua Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.