Tena sisi wanao tuita makafiri ndio hua tuna wachangia hela nyingi kuliko wanazotoa waoHata kwa wasio wa imani yao huwapelekea.
Mnyazi ndo nani tena huko Dar πππHii hata mashekhe wengi sana huwa wanaisema na kuwasihi wafuasi wa mnyazi kutoa ila bado imekuwa ngumu maana wafuasi wengi wameoa wake wa 4 Sasa kipato kurumanyati ndio maana hutoa kwa uchache mno Sasa huenda wakaanza kutoa baada ya kufokewa na aliyekuwa mme wa zaylsia
Dahπhuku dar umeme umekataMnyazi ndo nani tena huko Dar πππ
Uislamu unataka kila mtu afanyekazi,uimamu sio kazi ,ni ibada,yeye imamu pia anatakiwa afanyekazi.watafute kazi za kufanya.Mtume Muhammad(SAW),alifanyakazi,mwanzo aliajiriwa na Bi khadija,katika kusimamia misafara ya biashara za Bi Khadija,na pia alikuwa,mchungaji wa wanyama,hakukaa akasubiri sadaka.Pengine Sio Tone nzuri ya kubembeleza lakini kwa jambo hili naamini nilikuwa sahihi!
Haiwezekani tusifiane Wafanyabiashara wengi ni Waislaam kisha Maimamu wengi wanaotuswalishia Miskiti yetu na Waalimu wanaotufundishia Watoto wetu elimu ya dini wawe omba omba na malofa!!
Tufikirie sasa kutengeneza mifumo sahihi itakayoondoa kabisa hili tatizo kwa jamii yetu!!
Mtu akiwa Imaam au Ustaadh wa Madrasa licha ya kulipwa malipo mema na Allah lakini tuwalipe vizuri ili kazi wanayoifanya iwe na thamani duniani na akhera Insha'Allah ππ
Nb: Msisahau tukifa hawa tunaowadharau hv sasa ndio wanaotustiri kwa kutuosha na kutuweka Makaburini
Kwa hiyo wewe unamzidi manara kujua uislamu?!Uislamu unataka kila mtu afanyekazi,uimamu sio kazi ,ni ibada,yeye imamu pia anatakiwa afanyekazi.watafute kazi za kufanya.Mtume Muhammad(SAW),alifanyakazi,mwanzo aliajiriwa na Bi khadija,katika kusimamia misafara ya biashara za Bi Khadija,na pia alikuwa,mchungaji wa wanyama,hakukaa akasubiri sadaka.
Uislamu tofauti na dini nyinginezo,uimamu sio kazi,ni ibada,inatakiwa,Imam atafute kazi au biashara afanye.Mtume Muhammad (SAW),alifanyakazi Kwa Bi Khadija ya kusimamia misafara ya biashara za Bi Khadija,na pia alikuwa mfugaji wa wanyama,alifanyakazi,hakutegemea sadaka.Na ndio pia ukaona katika uislamu,siku ya ijumaa,sio yote ni ya mapunziko,mnakwenda kazini au biashara kama kawaida,ikifika mda wa swala,mnaswali,mkimaliza kuswali mnarudi kazini au kwenye biasharaHii hata mashekhe wengi sana huwa wanaisema na kuwasihi wafuasi wa mnyazi kutoa ila bado imekuwa ngumu maana wafuasi wengi wameoa wake wa 4 Sasa kipato kurumanyati ndio maana hutoa kwa uchache mno Sasa huenda wakaanza kutoa baada ya kufokewa na aliyekuwa mme wa zaylsia