Bora hata ya Jaji mkuu kuliko Mwanasheria mkuu wa serikali. Maana ukisikia kuna viraka vimewekwa madarakani basi ni pamoja na yule jamaa. Sijui inakuwaje mtu mpayukaji kama yule kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Nimeipenda sana hotuba ya Marando. Lakini watanzania ni vichwa ngumu. Pamoja na kujua haya yote bado utawaona wakiendelea kuibeba CCM.
Nilidhani huyu Mura alitukana kumbe hata tusi mmoja hakuna! Sana sana ametoa tuhuma, kwa nini TBC waslivyanya alichofanya? Na kama Kikwete na Mkapa hawakuiba, basi wamburuze Marando kortini.....hivi bado kuna watu wanaona kuna serikali hapa! Kwa nini uwatese wengine kwa sababu ya wizi wako, ewe Mkwere?????????