VIDEO - Ajaribu Kuliiba Kombe la Dunia

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
<table style="width: 491px; height: 277px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td colspan="3" style="padding-left: 10px; padding-top: 5px; width: 491px;">VIDEO - Ajaribu Kuliiba Kombe la Dunia</td> </tr> <tr style="background-color: rgb(225, 225, 225); padding-top: 10px;"> <td style="width: 250px; padding-left: 5px; padding-bottom: 5px; padding-top: 5px;" valign="top">
4725530.jpg

Jimmy Jump akipewa konde lililomwangusha chini</td> <td style="padding-left: 10px; width: 316px;" valign="top"> Monday, July 12, 2010 9:36 PM
Mwanaume ambaye aliingia uwanjani na kujaribu kulivalisha kofia kombe la dunia kabla ya mechi ya fainali kati ya Uholanzi na Hispania atafikishwa mahakamani jumatatu kwa kosa la kujaribu kuliiba kombe la dunia.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;"> Mwanaume huyo ambaye ni raia wa Hispania anashtakiwa kwa makosa ya kuviruka vizuizi vya ulinzi na kujaribu kuliiba kombe la dunia.

Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 34 anayeitwa Jaume Marquet i Cot ambaye ni maarufu kwa jina la "Jimmy Jump" ni maarufu kwa kuzamia kwenye viwanja na majukwaa kwenye matukio mbalimbali makubwa duniani.

Miongoni mwa matukio ambayo Jimmy Jump alizamia ni mechi ya fainali ya Euro 2004 kati ya Ugiriki na Ureno, mechi ya nusu fainali ya klabu bingwa ulaya mwaka 2005 kati ya Liverpool na Chelsea, mechi ya nusu fainali ya Euro 2008 kati ya Ujerumani na Uturuki na mechi zingine kadhaa kubwa duniani.

Jimmy Jump pia ametia maguu maguu yake kwenye mechi kubwa za basketball, rugby na hata kwenye mashindano ya muziki ya Eurovision mwaka huu.

Katika tukio la nchini Afrika Kusini, Jimmy alikimbia kuingia uwanjani akitaka kulivalisha kombe la dunia kofia yake nyekundu lakini kabla ya kutimiza azma yake alipigwa ngumi na mlinzi na kuanguka chari kabla ya kubebwa msobe msobe na kupelekwa mahabusu.

Chini ni VIDEO ya tukio hilo lililotokea kabla ya kuanza kwa mechi ya fainali ambapo Hispania ilishinda 1-0 na kutawazwa mabingwa wa dunia.</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; text-align: center; width: 491px;">
</td> </tr> <tr> <td colspan="3" style="vertical-align: top; width: 491px;">

VIDEO - Ajaribu Kuliiba Kombe la Dunia
<object height="385" width="640">


<embed src="http://www.youtube.com/v/2BjJTYldyGQ&hl=en_GB&fs=1?rel=0" type="application/x-shockwave-flash" allowscriptaccess="always" allowfullscreen="true" height="385" width="640"></object>


Chanzo NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.


</td> </tr> </tbody></table> <table style="width: 488px;" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0"><tbody><tr><td style="width: 429px;">
</td> <td style="width: 249px;"> Mwizi huyo waKombe la dunia ama kweli Miafrika Bwana Ndivyo ilivyo
</td></tr></tbody></table>
 
Back
Top Bottom