Victor Mwambalaswa: Said kubenea vs Edward Lowassa

2abff9ab47713ba039d0e3a8fd433963.jpg
Hao wapo CCM kwa na hawana madhara maana mizizi imehamia CHADEMA
 
CCMScrow ndio laana ya hii nchi. Tunazunguka kukejeliana lakini ukweli uko palepale. Hakuna mpinzani anaeza fanya ufisadi akatoboa.

Tumeona ya Mbowe billz na Sumaye shamba. Lowassa walisema anaundiwa mahakama ya mafisadi. Hadi leo haina wateja.

Tusubiri hili la madini. Maana imesemwa wakisaini mkataba London Lowassa alikua ndani ya hoteli hiyo Karamagi alokua akisainia. Je, Lowassa ataguswa. Ni wakati muafaka sasa. Maana Richmond ndo wameshindwa kumfikisha kwa pilato.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom