bucho
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 5,175
- 3,275
Embu wana jamii tujiulize huyu mtu ni nani ?
Ana elimu gani ? Historia ya familia yake ikoje ? Marafiki zake ni wakina nani ? Ana mali kiasi gani na zimepatikanaje ? Je ameshawai kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai au lingine lolote ? je ana historia yoyote ya kuwa mgomvi ? alikuwa akiwasiliana na watu gani kwenye simu au njia yoyote kwa muda wa miezi sita kabla ya tukio la bomu ?
Je alikuwa anajihusisha na siasa ? Na kama alikuwa anajihusisha na siasa alikuwa ni mwanachama wa chama gani ?
Embu tujiulize halafu tumchambue huyu mtu.
Karibuni.
===
===
Soma After Arusha Bombing Is NOT Time for TZ to Adopt CCTV Culture?
Ana elimu gani ? Historia ya familia yake ikoje ? Marafiki zake ni wakina nani ? Ana mali kiasi gani na zimepatikanaje ? Je ameshawai kushtakiwa kwa kosa lolote la jinai au lingine lolote ? je ana historia yoyote ya kuwa mgomvi ? alikuwa akiwasiliana na watu gani kwenye simu au njia yoyote kwa muda wa miezi sita kabla ya tukio la bomu ?
Je alikuwa anajihusisha na siasa ? Na kama alikuwa anajihusisha na siasa alikuwa ni mwanachama wa chama gani ?
Embu tujiulize halafu tumchambue huyu mtu.
Karibuni.
===
Mkuu bucho Victor Ambrose is simply dereva wa boda boda asikuwa na uhakika wa mlo wa kesho kapewa dili na wasaudia kwa malipo manono kafanyiza.Magaidi ni hawa wasaudia waliopanga na kufanikisha mipango ya ugaidi. Serekali inalitumia jina la Victor si kwa bahati mbaya bali kujaribu kuondoa fikra na dhana kwamba waliofanya ugaidi ni waislamu. Utashanga pale majina ya wasaudia watakapotajwa Ustadhi Thomas Al ......
Victor Ambarose ni kijana wa miaka 20 ni dereva wa bodaboda amelelewa na bibi yake Arusha baada ya kufiwa na wazazi wake. Siku ya tukio ndiye alyempakia mtuhumiwa kwenye bodaboda yake na mtuhumiwa alishuka bila kulipa baada ya muda kidogo mlipuko ukasikika.
Hope kwa ufupi umeelawa kuhusu Victor
Wanajamvi hili ni swali lililonisumbua kwa kipini kirefu sana tangu litokee,huyu victor ambrose alikamatwa kwa kosa la kurusha bomu kwenye uzinduzi wa kanisa huko Olacity Arusha
ni kwa nini aliamua kufanya vile je alitumwa na nani maana tukio lile si dogo mpaka jumuia ya kimataifa imelisikia na limewastua
kuhusishwa kwa ugaidi na tukio hili je lengo ni nini na ugaidi huu ulikua kwa ufadhili wa nchi au taasisis gani ni alshabab au alqaeda maana nimekua nasuburi maswali haya yajibiwe na serikali yangu but kimya
Nani mwenye ufafanuzi wa kina maana JF hakuna kinachokosekana
===
Soma After Arusha Bombing Is NOT Time for TZ to Adopt CCTV Culture?