Vichekesho Vya Mbwiga wa Mbwiguke

Van gaal

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2014
Posts
265
Reaction score
107
Mbwiga Mbwinguke, mkora nyani kibwaya mkia, Midfield kisheti! Nazitupa tu huku kule halafu naziomba, nimchakamchaka tu, sako la nyani hilo ngedere haponi.

Sasa ngoja nikupe kosi hilo kosi hatari la wanajeshi wenye roho mbaya, yaani kila ukiwaona wanahamu wakichafue tu. Mwaka 1973 hiyo, wapi hiyo? Ndani ya Mkwakwani Stadium Tanga yani unga robo chenji irudi!

Si unajua kamakawaida sisi wazaramo majina yetuni Shida , Majaliwa,Matatizo, halafu usipokuja kwenye ngoma ya mwananguna mimi msiba wababako siji. Rusha vocha nkumalizie utamu wa Mbwiga wa Mbwiguke mkora nyani kibwaya mkia.

Teh!teh!teh!, hivi huyu jamaa na kitandani anakuwaga na mbwembwe hizo au ni kwenye mambo ya mpira tu!
 
Jamaa kachangamkia fulsa ya utangazi kwa uongeaji wake


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 

Naomba kukusumbua mkuu, naomba historia ya uyu jamaa Mbwiga, kuanzia utotoni mpaka ukubwani kama unamfahamu na elimu yake na jinsi alivyopata kazi pale clouds, maana mm napendaga kumsikiliza yeye kwenye kipindi cha michezo hapo clouds.

Ila pole kwa usumbufu mkuu maana nataka awe my role model wangu.
 

Si umkaribishe kitandani kwako akimaliza uje utujuze kama anazo au la??? Tutajuaje sisi??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…