Asante mkuu unanisaidia kuwaelewesha watu,wengi wanadhani nakejeli watu kumbe haya mambo yapoHaya mambo ni ya kuelimishana zaidi wala sio ya kutoa kashfa. Ukweli ukienda vijijini wanawake na wanaume wengi hawanyoi mavuzi na hasa mikoa yenye hali ya hewa ya baridi. Huku mijini hasa DSM wanaume na wanawake wengi hawana muda wa kunyoa mavuzi kutokana na muda kutokuwepo wa kutosha.
we mchane laivu huyo bwana yako sio kuja kumshaki humu jf na kujumuisha wanaume wote
Hahaha,,, safisheni vichaka vyenu bana lkn msimalize nyasi zote.
NOTE; VUZI NI PAMBO LA U.CHI
He he mie ni mwanamke na hata nikiwa singe mom nitatafuta jiboro la kunitosha kisa nitalinyoa kiduku na nitalipamba tafuta bwana bibie nachoona hapa kutoka kwako hauko stable kwa mahusiano,afu dizaini kama huna mtu mmoja.
we mchane laivu huyo bwana yako sio kuja kumshaki humu jf na kujumuisha wanaume wote
Mbona ka dizain flani unawachukia wanaume wamekufanyanini miss??
Yaaani wewe una makavu hadi basi
Mie Nimekumiss tu sina la ziada
sijawahi kuona ukiandika vitu kama hivi. ni wewe kweli?