Vichaa na tv

Vichaa na tv

mtzedi

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
6,140
Reaction score
6,356
Vichaa waliambiwa watengeneze TV kwa kutumia maboksi. Siku ya kuleta TV vichaa wote wakaleta maboksi kasoro mmoja aliyekuja na karatasi. Dokta akahisi amepona akamuuliza wewe vipi mbona umeleta karatasi? Kichaa akajibu:Hamna Dokta hii ni FLAT SCREEN.
 
Uuuuuuuuuuwi!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
yaani huyo dokta ndo chizi zaidi,kwahiyo kama jamaa angekua hajapeleka tv angekuwa amepona
 
Back
Top Bottom