Nyani ana gitaa au njiwa akisoma kitabu kuna tatizo gani?
Humu kuna watu wanajichukulia too serious, JF kuna characters za kila aina, na almuradi avatar haiko offensive clearly, in which case you will need to report them with details on an individual avatar basis, utakuwa unataka ku impose unnecessary censorship.
Whats next? Utasema watu wanamkosea heshima Kikwete kwa sababu hawamuiti muheshimiwa rasi Kikwete?
Hayo mambo ya kuja ku apply standards za gazeti la chama "Uhuru" au gazeti la kanisa katoliki la "Lengo" kwenye new media kama JF inarudisha nyuma freedom of speech.