Mimi najiuliza? nanyi mnisaidie wana jf.nyerere aliweka utaratibu mzuri wa viboko kwa wanao bainika wamepokea rushwa au kutoa rushwa.au watu wamekua sugu sana au mkubwa hakosei nadhani nchi imekua ndogo kila mtu anaweza kuiweka mfukoni bila kujulikana!!?!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.