Vibe Coding-

Vibe Coding-

Boloski

Member
Joined
Apr 7, 2025
Posts
16
Reaction score
28
Habari wadau,

Kuna haya yanayaoendelea huko duniani hususani matumizi ya AI katika kutengeneza applications, softwares na programs mbalimbali. Dhumuni la uzi huu ni kupata mchango na kushare nini unatengeneza July hii.

Pia kama tunaweza kuteam up.
 
Habari wadau,

Kuna haya yanayaoendelea huko duniani hususani matumizi ya AI katika kutengeneza applications, softwares na programs mbalimbali. Dhumuni la uzi huu ni kupata mchango na kushare nini unatengeneza July hii.

Pia kama tunaweza kuteam up.
Vibe coders😅😅... Huwa ni wazinguaji sana code hazipo organized, full viraka yani thou kwenye swala la production wako fasta sana, project unampa leo siku mbili tatu tayari iko mkononi wakati ukimpa mtu anaefuata misingi ni mwezi.
 
Vibe coders😅😅... Huwa ni wazinguaji sana code hazipo organized, full viraka yani thou kwenye swala la production wako fasta sana, project unampa leo siku mbili tatu tayari iko mkononi wakati ukimpa mtu anaefuata misingi ni mwezi.
ok
 
Kuna project itabidi nifanye vibe coding 😅 bila hivyo matarajio ya kuikamilisha ni December au January 2026.

Watu wengi wanaipiga vita vibe coding kwasababu wengi wanaofanya hivyo hawana knowledge kwenye vitu muhimu kama security, matokeo yake wanaunda SaaS ambazo zinakuja ku-leak data za watumiaji.

Kwa hii kasi ya Tech ni muhimu ukajua basics ya unachokifanya kwanza halafu AI ikusaidie kurahisisha na kufanya kazi kwa uharaka.
 
Kuna project itabidi nifanye vibe coding 😅 bila hivyo matarajio ya kuikamilisha ni December au January 2026.

Watu wengi wanaipiga vita vibe coding kwasababu wengi wanaofanya hivyo hawana knowledge kwenye vitu muhimu kama security, matokeo yake wanaunda SaaS ambazo zinakuja ku-leak data za watumiaji.

Kwa hii kasi ya Tech ni muhimu ukajua basics ya unachokifanya kwanza halafu AI ikusaidie kurahisisha na kufanya kazi kwa uharaka.
Umenena vyema. Vibe coding ni bora ikatumika kwenye front end na UI designs, likini inapokuja back-end hasa kama kutahusisha transsactions and verifications hapo una outsource kwa wenyewe wazee wa kazi
 
Nimeitumia sana kipindi inatoka. sawa we uliza kwa faida ya wengine pia
Siko na utaalamu katika coding lakini nmeweza kutengeneza app yangu kupitia msaada wa hizi AI assistance. Nataka sasa kujaribu features zote maana app yenyewe inahusu mahali napofanyia kazi kama njia ya mawaziliano katika kampuni kati ya ( muajiri na muajiriwa)

mfano kama kuna general announcement katika kampuni, au mfanyakazi anataka kuona salary na mambo mengine yamuhusuyo yeye au kuwasiliana na HR wake kuhusu taarifa zake binafsi. Asante
 
Oy naomba odd mbili nimununulie shemeji Yako kagari
Mm nmeenda hv leo

Screenshot_20250704-203125.png
 
Nitaifanyia kazi hii:
  • Muda mwingi natumia Windsurf & Cursor AI
Ijapokuwa kila kitu kina changamoto zake ila hiyo firebender naweza i rate ⁵/⁵ kutokana na experience yangu ila nmepata kitu kipya kutoka kwako nitaifanyia kazi hiyo hapo juu

Ila uzuri wa hao jamaa ukiwafata huko discord kama una tatizo within ndani au hata haiwezi zidi masaaa 12 umepata majibu ya changamoto yako
 
Vibe coding ni sawa na fundi simu ambae hajasoma electronics au fundi magari wa gereji ambae hajasoma veta au DIT.
 
Vibe coders😅😅... Huwa ni wazinguaji sana code hazipo organized, full viraka yani thou kwenye swala la production wako fasta sana, project unampa leo siku mbili tatu tayari iko mkononi wakati ukimpa mtu anaefuata misingi ni mwezi.
Ishubya coding ni logically organizing of instructions to direct computer, syntax tayari zipo hivyo ww Cha msingi ni kujua mpangilio tu,now coding ni rahisi kwa msaada wa AI,kwa hiyo ni Bora mtu kuwa vzuri katika system analysis na UI
 
Back
Top Bottom