Nilisikia jana kuwa wanahakati binafsi wataandamana kupinga mgoma wa madaktari nikawa na shauku ya kujua wanaharakati hawa wazalendo. Nilipowa kwenye taaarifa ya habari chanel 10, nimeishiwa pozi. Kiongozi woa Salumu tunamjua kuwa ni kibaraka anaefata upepo wa iliko pesa. Ni dhahiri haitoki rohoni mwake. Pia nikamwona Matefu anaeyejitambulishaga ni mwanasheria wa UDSM na hali hajawahi somi pale bali hupita akienda Changanyikeni. Huyu Matefu aliwahi kula hela ya vijana wa shule za sekondari akiwa Kiongozi akapotelea Kenya. Akarudi anajifanya mana CCM. Hawa vijana CCM iwe makini nao ndo watakuja kukijeruhi chama chetu, wana tamaa tu hawana lolote. Nimecheka, nimedharau, hawana Mashiko.