Vibaraka waandamana kupinga mgomo wa madaktari

Miela

Member
Jan 29, 2012
19
1
Nilisikia jana kuwa wanahakati binafsi wataandamana kupinga mgoma wa madaktari nikawa na shauku ya kujua wanaharakati hawa wazalendo. Nilipowa kwenye taaarifa ya habari chanel 10, nimeishiwa pozi. Kiongozi woa Salumu tunamjua kuwa ni kibaraka anaefata upepo wa iliko pesa. Ni dhahiri haitoki rohoni mwake. Pia nikamwona Matefu anaeyejitambulishaga ni mwanasheria wa UDSM na hali hajawahi somi pale bali hupita akienda Changanyikeni. Huyu Matefu aliwahi kula hela ya vijana wa shule za sekondari akiwa Kiongozi akapotelea Kenya. Akarudi anajifanya mana CCM. Hawa vijana CCM iwe makini nao ndo watakuja kukijeruhi chama chetu, wana tamaa tu hawana lolote. Nimecheka, nimedharau, hawana Mashiko.
 
waache waandae halafu wanaharakati wa kweli washiriki,watajuta kuandaa.shime shime wale wanaharakati wa kweli nafasi hadimu ndio hizoooo!!
 
Wananikumbusha Gadaffi alivyokuwa anaandaa watu wake na bendera zao za kijani.

Lakini mbona hata humu wako wengi tu wanaoandamana???
 
Nani asiyemjua salum Aly?ni mtu anayependa kuonekana kwenye tv.tokea amalize chuo alimiss kuongea kwenye media thats why akaona avamie uharakati bila hata kufikiria.
 
mwanaharakati gani wewe unamuona wa ukweli? Wote matumbo ndio isue. Na mumshukuru sana Rais wa sasa kwani amewaachia mno,sasa hivi kila mtu anatanua kinywa vile apendavyo. Hakika hii hali kwa taifa sio mwelekeo mzuri.
 
Huyo Salumu na vijana wengine wale waliokuwa kwenye kipindi cha Je Tutafika kinachorushwa na channel tenkwenye maada ya CCM waitakayo nimeshangaa sana kuwaona ndio wanaharakati. Nimejiuliza maswali mengi kama UVCCM imeamua kuwaanza harakati? na Harakati za nini hasa? huku ni kutapatapa na kuchezea akili za watu. Niliowaona kwenye taarifa ya habari ni wale wana ccm. Kweli usipokuwa na akili kwa maswala kama haya ni shida tupu na kama huyo Salumu ni mwanasheria basi CCM ndio inaenda kwenye kifo chake
 
Si warudi shule wakasomee udaktari ili wafanye kazi kwa uzalendo. Wanapiga kelele nyingi ukiwauliza wana-belong kwenye kingdom gani hawajui.
 
Wapigine picha hao vibaraka, na zibandikwe kwenye hospitali zote Dar.
 
mwanaharakati gani wewe unamuona wa ukweli? Wote matumbo ndio isue. Na mumshukuru sana Rais wa sasa kwani amewaachia mno,sasa hivi kila mtu anatanua kinywa vile apendavyo. Hakika hii hali kwa taifa sio mwelekeo mzuri.

Thanks to the constitution not an individual you dummy, umuhimu wa kutoa shule ya katiba unazidi kujionyesha.

Back to the strike, wananchi wanapaswa kuandamana kumshinikiza incompetent Prez. kuwaondoa wanasiasa wawili kati
maelfu ya wanasiasa tusiowaitaji anyway.
 
mwanaharakati gani wewe unamuona wa ukweli? Wote matumbo ndio isue. Na mumshukuru sana Rais wa sasa kwani amewaachia mno,sasa hivi kila mtu anatanua kinywa vile apendavyo. Hakika hii hali kwa taifa sio mwelekeo mzuri.
Wewe unaona kabisa dereva analielekeza gari kwenye korongo halafu bado unamshukuru dereva..ziko sawasawa kweli. Ajabu mtu anayekuambia shuka humo unamona mjinga.
 
Maandamano ya hawa matapeli na wachumia tumbo ni janja ya kitoto ya Kikwete kutaka kuzima madai halali ya madaktari. Je atafanikiwa? Hawa wanaoandamana ni waroho kama fisi wanaoweza kuwauza hata mama zao ili mradi tonge liende kinywani. Kwao taifa ni matumbo yao na njaa zao. Yeyote awezaye kuwatumia hata kama ni shetani watamtumikia ili mradi wapata mabaki ya mafisadi na kujaza matumbo yao yasiyo na shukrani. Wanatumia utumbo kufikiri badala ya ubongo. Wanangu, walaani wezi hawa wa mchana. Kesho utawasikia mzee wa Upako na Kalokola na baadhi ya mashehe wakimwaga sumu. Nadhani mtasikia wazee wa Dar es salaam wakiunga mkono ***** wa Kikwete muda si mrefu.
 
Aisee wakati serikali ya sisiem inapingana na maandamano hata kwa kuwapiga risasi za moto waandamanaji, safari hii ndio wao wamekimbilia kuandamana? Ama kweli simba akizidiwa hula majani. Wamekimbilia pia mahakamani lakini kwa kiwewe kilichowashika hawakuona kama hukumu ya mahakama itawanusuru. Ndipo wakawaomba madaktari waende ikulu ili wafanye majadiliano. Sasa sijajua kama kikao cha ikulu kinajadili hukumu ya mahakama au vipi. Na kufanya hivyo sijui kama hawaoni kuwa wanaingilia uhuru wa mahakama.
Lets wait and see.
.
 
Nilisikia jana kuwa wanahakati binafsi wataandamana kupinga mgoma wa madaktari nikawa na shauku ya kujua wanaharakati hawa wazalendo. Nilipowa kwenye taaarifa ya habari chanel 10, nimeishiwa pozi. Kiongozi woa Salumu tunamjua kuwa ni kibaraka anaefata upepo wa iliko pesa. Ni dhahiri haitoki rohoni mwake. Pia nikamwona Matefu anaeyejitambulishaga ni mwanasheria wa UDSM na hali hajawahi somi pale bali hupita akienda Changanyikeni. Huyu Matefu aliwahi kula hela ya vijana wa shule za sekondari akiwa Kiongozi akapotelea Kenya. Akarudi anajifanya mana CCM. Hawa vijana CCM iwe makini nao ndo watakuja kukijeruhi chama chetu, wana tamaa tu hawana lolote. Nimecheka, nimedharau, hawana Mashiko.
Hiyo move nzuri tunataka maandamano ya wanaharakati wanaounga mgomo yaitishwe haraka na Kikwete avumilie.Hayo yafanyike haraka ili kujua ukweli
 
Huyo Salumu na vijana wengine wale waliokuwa kwenye kipindi cha Je Tutafika kinachorushwa na channel tenkwenye maada ya CCM waitakayo nimeshangaa sana kuwaona ndio wanaharakati. Nimejiuliza maswali mengi kama UVCCM imeamua kuwaanza harakati? na Harakati za nini hasa? huku ni kutapatapa na kuchezea akili za watu. Niliowaona kwenye taarifa ya habari ni wale wana ccm. Kweli usipokuwa na akili kwa maswala kama haya ni shida tupu na kama huyo Salumu ni mwanasheria basi CCM ndio inaenda kwenye kifo chake
Kumbe ndiye yule nilimsikiliza hamna kitu kumkichwa walikuwa wanatema pumba hadi aibu.
 
kwenye maandamano kesho kila mtu aje na bango llake lakuiponda serikali tuone kama hawataishia kumwaga maji washa
 
Nilisikia jana kuwa wanahakati binafsi wataandamana kupinga mgoma wa madaktari nikawa na shauku ya kujua wanaharakati hawa wazalendo. Nilipowa kwenye taaarifa ya habari chanel 10, nimeishiwa pozi. Kiongozi woa Salumu tunamjua kuwa ni kibaraka anaefata upepo wa iliko pesa. Ni dhahiri haitoki rohoni mwake. Pia nikamwona Matefu anaeyejitambulishaga ni mwanasheria wa UDSM na hali hajawahi somi pale bali hupita akienda Changanyikeni. Huyu Matefu aliwahi kula hela ya vijana wa shule za sekondari akiwa Kiongozi akapotelea Kenya. Akarudi anajifanya mana CCM. Hawa vijana CCM iwe makini nao ndo watakuja kukijeruhi chama chetu, wana tamaa tu hawana lolote. Nimecheka, nimedharau, hawana Mashiko.

Mkuu umefanya vibaya kuwataja maana wanajitengenezea uadui na madaktari wakati hawana uwezo wa kutibiwa nje ya nchi. Ni mwendawazimu pekee atakayekubali kushawishiwa kuwapinga madaktari. Kwanza ukiangalia madai yao ni kwa faida ya wagonjwa. Kama watakuwa na capacity ya kutambua magonjwa (ie kuwa na vifaa vya kisasa na mazingira bora) vifo vingi visivyo vya lazima vitaepukika.
 
nimewaona itv na wale ndugu zetu wa ubwabwa...eti serikali iagize madaktari kutoka nchi marafiki na tanzania...yaani hii nchi bila 'vikofia' nadhani tungekuwa tumepiga hatua japo ndogo ya maendeleo maana watu wengi wameshaamka ila hawa wenzetu wengi wao ni ma nincompoop kwa hiyo wanatumika kirahisi kuturudisha nyuma...!
 
Na mumshukuru sana Rais wa sasa kwani amewaachia mno, sasa hivi kila mtu anatanua kinywa vile apendavyo. Hakika hii hali kwa taifa sio mwelekeo mzuri.
Hivi wewe unaishi sayari gani maana kwa vyovyote vile huwezi kuwa unaishi dunia hii tunayoishi. Tuko karne ya 21 na imebaki tu miaka 88 na siku 297 tuingie karne ya 22, please grow up dude!
 
Wao wataruhusiwa kuandamana?
Hapa ndipo tutaona double standard za hawa jeshi la polisi kwa raia wake
 
Back
Top Bottom