idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
hivi wale jamaa ni wanaharakati kweli au waganga njaa....nimemsikia mmoja itv anaongea pumba mwanzo mwisho.mapovu yanamtoka eti rais fukuza madaktari wote waondoke waende wanakokujua.sijui anajua madaktari sawa na wanafunzi wanaowafukuza kila siku.!