Nilikuwa kwenye msiba fulani, baada ya muda tukasikia kuna gari imevunjwa kioo wamebeba begi la laptop, tukakurupuka mbio maana nilikuwa nimeacha bag la laptop pia kwenye gari, kufika pale, wamevunja kioo cha gari jirani, toka siku hiyo siachi bag la laptop ndani ya gari.