Vibaka tunarudishana nyuma

Vibaka tunarudishana nyuma

JOYSTICK

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
221
Reaction score
57
Mida hii natoka Bar ya Hongera hapa karibu na chuo cha ustawi,nikaelekea kwenye parking ya upande wa kushoto iliyopakana na uzio wa chuo kuchukua ndinga yangu nakuta mama,Mzee mmoja na mlinzi wamekaa.Nkawasalimia gafla wanasema tumeibiwa hee,kwanza sikuelewa wakanionyesha sehemu ya nyuma ya kioo cha gar ya yao vibaka hao wakiwa wamepasua na kuchukua mkoba wa huyo mama ukiwa na pesa,vitambulisho vya kazi na leseni pamoja na vitu vingine.Halafu boss wa hiyo kampuni ya ulinzi alivyopigiwa simu akahoji kwanini waliacha vitu kwenye gari... Vibaya jamani tunarudishana nyumaaaa nashukuru Mungu Gari yangu ilikuwa ya kwanza then ya huyo mama haijaguswa dah wamenyofoa hata taa wangenitia harasa na hivi sina pesaa
 
hawa vibaka hawafai kabisa kwani wanarudisha sana maendeleo ya watu nyuma .
 
Kwani wako humu??????

Ukinywa lazima nawe unywewe
 
Nilikuwa kwenye msiba fulani, baada ya muda tukasikia kuna gari imevunjwa kioo wamebeba begi la laptop, tukakurupuka mbio maana nilikuwa nimeacha bag la laptop pia kwenye gari, kufika pale, wamevunja kioo cha gari jirani, toka siku hiyo siachi bag la laptop ndani ya gari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom