Salummsimbe
Member
- Mar 11, 2026
- 5
- 3
Habari zenu wakuu
Ninaomba msaada wenu. Ningependa kujua Bei ya sasa ya viazi mviringo Obama na Sangita shamba katika eneo la Njombe.
Je, bei kwa mkulima shambani
Bei kwa gunia (100kg) ni kiasi gani?
Pia, ikiwa mtu ana taarifa ya vinapopatika aina ya viazi (mviringo, OBAMA &SANGITA) na msimu, tafadhali naomba ufafanuzi.
Nataka kununua/kuuza, hivyo taarifa halisi na ya hivi karibuni itasaidia sana.
Asante sana kwa msaada wenu!
Ninaomba msaada wenu. Ningependa kujua Bei ya sasa ya viazi mviringo Obama na Sangita shamba katika eneo la Njombe.
Je, bei kwa mkulima shambani
Bei kwa gunia (100kg) ni kiasi gani?
Pia, ikiwa mtu ana taarifa ya vinapopatika aina ya viazi (mviringo, OBAMA &SANGITA) na msimu, tafadhali naomba ufafanuzi.
Nataka kununua/kuuza, hivyo taarifa halisi na ya hivi karibuni itasaidia sana.
Asante sana kwa msaada wenu!