Viatu vikali

sasa unatumia kamera ya bei rahisi alafu unataka kuuza viatu vya bei ya juu ,au unauza clones
We jamaa unapenda sana ligi,mim si mpenz wa simu za bei kali natumia tecno ya bei rahisi na ndio maana camera yake ni ya kawaida lkn haimaanish kuwa siwez kwenda kukopa simu ya bei kali na kulipa kidogo kidogo.
 
We jamaa unapenda sana ligi,mim si mpenz wa simu za bei kali natumia tecno ya bei rahisi na ndio maana camera yake ni ya kawaida lkn haimaanish kuwa siwez kwenda kukopa simu ya bei kali na kulipa kidogo kidogo.
sawa mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…