Viatu vikali

Jamaa haupo serious kabisa. Hiki kiatu kwa elfu 20 nakuletea tena kizuri zaidi.
Kwa hapa karume kwa hiyo 20k yako unaweza pata hata pea kumi za aina hiyo tatizo kubwa lipo kwenye uchaguaji kadr unavyopunguza vigezo ktk chaguz ndivyo unavyojiongezea wigo wa kupata vingi zaid
 
Dox(maimoria) pale moshi utakikuta kwenye tano bei, tano bei, tano bei
Km ukizikuta chagua zilizokuwa vzr zisizo na kiswere zenye rangi nzur ukifika nazo karume utapata 15k ktk kila kiat na mim nitakua mmoja kati ya wadau wako na nitakuunganisha na wadau wengine wengi tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…