Viagra inaua, kuweni makini jamani

Viagra inaua, kuweni makini jamani

Habari hii ni ya kweli,
Jamaa mmoja jijini Mwanza alikutana na kisa hiki akapoteza maisha .

Huyo jamaa alikuwa na dem wake akawa hamgongi kisawasawa kama ilivyokuwa mwanzoni, huyo dem akamtania kwamba ana mpango wa kumuacha kwa kuwa nguvu za kiume zimepungua - si kama zamani. Jamaa kwa kujitutumua akaamua kununua vidonge viwili vya viagra na kumeza, akamkaribisha huyo dem wake waingia faragha wakaanza kuhudumiana, ile kufika kileleni akaishiwa nguvu kabisa, akamwambia dem wake amvalishe nguo - apige simu kwa jamaa yake aje amkimbize hospital,

Kweli rafiki yake alipofika wakambeba na kumkimbiza Bugando, kufika hospital kumbe mshkaji kaishakata roho. :help:

Angalizo: Viagra bila ushauri wa Dr.ni noma,

Siku hizi kuna TEMBE ni vidogooo kama piriton halafu unakula nusu tu , kudadadeki utapiga gemu mpaka dem ataomba msamaha, mzee wazungu hawatoki wala nini unaweza zungungusha mafiringo saa nzima ndo mzigo unashuka pwaaa......
Chezeiyaa TEMBE mzeeee ............!:love:
 
Mtu anapoamua kuficha mapungufu yake ni kwa ajili ya upendo.

ni kweli mkuu... Wanawake hata umfanyie nn hawezi kuridhika. Imagine mtu unakula madawa kama hayo ambayo yanaweza kukuua kisa tu umridhishe kitandani nae ajisikie ni mwanamke lakini matokeo yake anakuona boya tu kisa unakula viagra.
 
Habari hii ni ya kweli,
Jamaa mmoja jijini Mwanza alikutana na kisa hiki akapoteza maisha .

Huyo jamaa alikuwa na dem wake akawa hamgongi kisawasawa kama ilivyokuwa mwanzoni, huyo dem akamtania kwamba ana mpango wa kumuacha kwa kuwa nguvu za kiume zimepungua - si kama zamani. Jamaa kwa kujitutumua akaamua kununua vidonge viwili vya viagra na kumeza, akamkaribisha huyo dem wake waingia faragha wakaanza kuhudumiana, ile kufika kileleni akaishiwa nguvu kabisa, akamwambia dem wake amvalishe nguo - apige simu kwa jamaa yake aje amkimbize hospital,

Kweli rafiki yake alipofika wakambeba na kumkimbiza Bugando, kufika hospital kumbe mshkaji kaishakata roho. :help:

Angalizo: Viagra bila ushauri wa Dr.ni noma,

Kama huiwezi mechi bora ukubali matokeo:tongue:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom