tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Kazini aliajiriwa mrembo mpya.jamaa wawili wakawa wanashindana ni nani
atampata mrembo kwanza.
Baada ya siku chache mmoja akasema amesha mpata.
siku mbili baadaye jamaa wa pili akasema na yeye akasema amepata.
Jamaa wa kwanza akasema unamwonaje mrembo?
Jamaa akajibu,si lolote kama mke wako.
Ha ha haaaaa.
atampata mrembo kwanza.
Baada ya siku chache mmoja akasema amesha mpata.
siku mbili baadaye jamaa wa pili akasema na yeye akasema amepata.
Jamaa wa kwanza akasema unamwonaje mrembo?
Jamaa akajibu,si lolote kama mke wako.
Ha ha haaaaa.