Veterinary medicine

Veterinary medicine

MD haioni ndani kwenyee BVM hiyo kozi kama hujaaga kwenu pale SUA usiguse maana semister ya pili unaweza ondoka wanaanza 70 kumaliza wakiwa 9 au kumi na ni kawaida!

MD hata sio ngumu kama hiyo kozi ni miaka 5 unasoma binadamu as mnyama na vingine vingiii
Bvm ngumu kuliko MD,,, know una deal na Organism wangapi MD binadamu tu mzee unanipata... Ni mfano wewe wa MD tukuongezee Na Apes, kuku, ng'ombe, mbwa, paka usome utaweza kama tu binadamu unaona mgumu.... BVM pia tunasoma Binadamu kama reference
 
Kasomeni vijana yoyote mwenye anaweza kusoma MD basi hata BVM haitamsumbua kimsingi soma ukipendacho.

Kuna utamu zaidi ya MD na BVM,kuna Pharmacy,kuna Dental Surgery,Medical Lab. Science etc etc ni tamu kwa kujiajiri fursa kibao esp mikoani

Tusome tu better days are coming
 
usha anza kuogopa kasome md tuu maaana bvm n umeme wa transformer ndgu
 
Back
Top Bottom