Veterinary Medicine ni ngumu kuliko MD, In MD utasoma Binadamu tu... But Vet unasoma Different species za animals.. Utasoma small animals, large animals, pia wild animals (selected species) utasoma anatomy ya mmoja mmoja, kama unavyomsoma binadamu tu utasoma wanyama wote hao, utasoma Magonjwa ya kila mnyama peke yake..... Dealing with MD una deal na only Human Being so u can't compare MD na Vet..... Vet is So demanding than MD.. Hilo ujue... Hafu alosema SUA Fanta Aangalie Inashika position ya ngapi World Rank,,,, 3036 in my memory mwaka huu wa 2016,,, inafuata baada ya Udsm.... Ni chuo cha pili kwa vyuo vyote vya Bongo...... Vet is complicated than MD.... Mimi pia nimeapply Vet Medicine... So Guys Don't underestimate Veterinary Medicine.... U know nothing about it... Angalia watu wanao disco MD na Vet.... Iyo ni simple overview unaweza ukaona Course Ngumu ni ipi..... Au hamia Vet wewe wa MD kama hutohama course au ku Disco nambie