Verossa

Hommie waweza nambia hapa mnadiskashen makitu gani.

Na hao uliowa CC katiba yetu inaruhusu?

Asavali umeuliza babu Asprin, huyu hommie Kaizer kazi yake kuulizia wake zetu...

Alianza na cacico wako shem shem kumbe kam-mimbisha!!! Sasa anataka na mimi nimtajie wa kwangu... katika imekataa #ngastuka
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…