Verossa inauzwa

Verossa inauzwa

Kazi yetu magali kununua na kuuza ivo njoo na uone gali umeuza

kwa maelezo yako inabidi nitume mtu mjanja mjanja kama maneno yako yalivyo muelewane mi siwezi hauko wazi kabisa mkuu. hata kusema jina la ofisi unaona shida.
 
Naona kimya ni heli ukawa mwoga ila minimtu salama ulizia magomeni deluxe kwa wauza magali fika hapo uliza kasuka hamna asie pajua
 
Naona kimya ni heli ukawa mwoga ila minimtu salama ulizia magomeni deluxe kwa wauza magali fika hapo uliza kasuka hamna asie pajua

Ntakuja mkuu naona majukumu yamenibana sana, once nikipata muda ntakupigia sim
 
napatikana ubungo, nyuma ya ubungo plaza
 
Bei imepungua jamani nipeni hela hiyo
 
Acha roho mbaya we jamaa yaaani utafikiri nauza stalet duh

KATIKA BIASHARA YOYOTE kwa mimi mtanzania lazima ni bargain. hata kama ni dukani am always like that, huwezi sema 6m nikaja na 6m lazima nitabalance naanzia tano wewe unasema ongeza kidogo may be 5.5. then tunafanya biashara. kuna kosa gani mtu akija kwako na biashara ya 6m ukampa ofa ya 5m. ungekua unataka hiyo hiyo 6M ungeanza lbda na 7m or above that!! sawa jombaa?
 
Nina wacwac na hy bei, Verossa for 7.5m!??

Mudy usiwe na shaka, kwa gari yenye exemption na ni verossa ni sawa, maana iyo ni sawa na CIF to dar bila kodi, atakayenunua atakutana na kodi ya serikali...alaf sina uhakika kama gari yenye namba BLM inaweza ikawa na miaka 4 tanzania maana mwaka june 2010 tulikuwa tunarejista BG... nakumbuka nilinunua namba BGE sasa BLM ni mpya zaidi,sijui wataalam watasema apa!Hata ivo tangu june 2010 mpaka leo haijafika miaka4...kama hiyo verrosaa jamaa anauza fair plus ajali kwa kuwa ukienda kulipa kodi haitapungua mil 4,500,000/- plus iyo 6000,000/= kwa haraka haitapungua mil10.
 
iyo gari ningekuwa na ela ya ziada ningeichukua maana sio ghali, pia nilivomsoma mleta uzi atakuwa amepata shida ya ela au kuna kitu zaidi anataka kufanya ndo kaamua kuuza ivo , nasema ivo kwa kuwa verossa bei yake sio iyo na kama exemption inaisha mwezi wa 10, haujiulizi kwa nini muuzaji asisubiri mwezi wa 10 exemption iishe then auze kwa mil 8 au 9?? mwenye ela confirm TRA iyo exemption then kabebe mzigo huo!!
 
iyo gari ningekuwa na ela ya ziada ningeichukua maana sio ghali, pia nilivomsoma mleta uzi atakuwa amepata shida ya ela au kuna kitu zaidi anataka kufanya ndo kaamua kuuza ivo , nasema ivo kwa kuwa verossa bei yake sio iyo na kama exemption inaisha mwezi wa 10, haujiulizi kwa nini muuzaji asisubiri mwezi wa 10 exemption iishe then auze kwa mil 8 au 9?? mwenye ela confirm TRA iyo exemption then kabebe mzigo huo!!

mjomba nilinunua gari ambayo ilikua na exemption na ina miaka miine. ina maana sitolipa kodi.

the car was bought in 2009 and they sold me 2014.
 
mjomba nilinunua gari ambayo ilikua na exemption na ina miaka miine. ina maana sitolipa kodi.

the car was bought in 2009 and they sold me 2014.

mjomba kwani nimebishwa? sio ninachosema ni kuichukua wakati bado muda wa miaka 5 haujaisha then kubadili umiliki lazma ulipe, unless useme atakayenunua atumie jina ilo ilo asubiri mpaka miaka5 iishe, na kuisha kwa exemption sio automatic, ni kuwa Tanzania tumejipangia kuwa 'half life value' ni miaka5, baada ya hapo inauzwa kwa scrap value,ndo maana tunaasume baada ya miaka5 inabidi isitumike tena yani haina roadworthness ndo maana kama ni 'exemption uishia apo, ila siku bunge likisema ni 10 years then ubadilika... kwa case ya jamaa haijaisha exemption wakinunua, kubadili jina lazma ukutane na kodi labda uitumie ivo ivo mpaka iishe na ni risk ikiibiwa au kukamatwa na sirikali kwa tuhuma apo panachimbika au aliyekuuzia awe bado duniani na ujue alipo,otherwise utasimulia uzeeni,...kwa iyo uko sahihi mjomba, kwani nimebisha??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom