kuverify hayo matokeo, mwezi wa sita au saba hivi. But no vyema ukaenda NACTE usaidiwe ukisubir hii ya kufata utaratibu unaweza usifanikiwe kwa kipindi hiki.Kivipi mkuu
ndiyo unawaeleza shida yako kwa hisia kali sana mpaka waelewe, usiwe mwepesi wa kukubali majibu yao tu.Shukrani sana mkuu ngoja nifany ivyo kwahy nikienda nacte naweza kikapata AVN mkuu