Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Habari za majukumu wana jukwaa
Leo hii nilikuwa nanua kakifaa fln online bila kutumia PayPal i.e kwa kutumia Card no. security code,na Jina la mwenye kadi bila kusahau Expiration dei ya card.
Lkn niliposubmit next step wakaniomba Verified by VISA passwd sasa swali langu au shida yangu ni je?
1.Hiyo kitu ni nn?
2.Na je ni sawa na ile ninayoitumia ATM Mashine?
3.Au mpaka uwe umefanya registration kwa hawa jamaa https://verified.visa.com/aam/activation/landingPage.aam
Leo hii nilikuwa nanua kakifaa fln online bila kutumia PayPal i.e kwa kutumia Card no. security code,na Jina la mwenye kadi bila kusahau Expiration dei ya card.
Lkn niliposubmit next step wakaniomba Verified by VISA passwd sasa swali langu au shida yangu ni je?
1.Hiyo kitu ni nn?
2.Na je ni sawa na ile ninayoitumia ATM Mashine?
3.Au mpaka uwe umefanya registration kwa hawa jamaa https://verified.visa.com/aam/activation/landingPage.aam