East African Boy
Member
- Nov 15, 2018
- 21
- 20
huyu dada ako na akili mbovu sana bora angekaa kimya kuachwa kunauma lakin hamna haja ya kuongea upumbav kaa huu
Sauti mzee mama sauti, au labda angeimba ngonjeraTunaendana hata mfanyeje
kwahiyo na Mobetto atakuwa kawa Hamorapa?Hii nchi watu huwa wanaona kila kitu ni rahisi tu. Uimbaji ni kipaji na kama huna utakuwa kama Harmorapa.
Hahahahahahaha umenichekesha sanaHalafu watu kama wakina barnaba eti wanamsifia aki bongo kuna unafki😂
hahahahaha jf noma sanaSauti utadhani anaosha masufuria
hahahaha hata Hamorapa amewashinda sanaBora hata gigy na amber lulu,lkn huyu duh.Halafu kibongo bongo ukiona huwezi kumfikia harmorapa basi acha mziki
Ukitaka kujua wabongo ni wanafiki mtu Kama barnnaba ambaye kaso ea kabisa mziki anamsifia kabisa.Mimi huwa najiuliza bado mtu aliye washauri Hamisa na Vera kuwa wanajua kuimba hakika watanzania sisi ni wanafiki sana tena sana yani mtu una mdanganya mtu kama Hamisa au Vera kuimba kwakweli ni dhambi kabisa iliyofanyika....
Msanii Hamisa MobettoSauti utadhani anaosha masufuria
Sauti utadhani anaosha masufuria
Hamisa 23, Vera 21 (wao ndo husema hivo)Wote sana miaka 20!!!!?? Ama sijaona vizuri?
Hamisa 23, Vera 21 (wao ndo husema hivo)
Yule vera sidika mashabiki anao aendelee tu kuimba, maana ule msambwanda ulimpa mashabiki kabla hata ya kuanza kuimba.Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.
Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma
Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.