Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Hamisa anajua kuimba nini mtu mwenyewe mdomo umeingia ndani .......... By the way sio kuimba tu hajui hata Uzuri hana zaidi ya kutegemea Make up na kujibinua kiuno tu .
 
Mimi huwa najiuliza bado mtu aliye washauri Hamisa na Vera kuwa wanajua kuimba hakika watanzania sisi ni wanafiki sana tena sana yani mtu una mdanganya mtu kama Hamisa au Vera kuimba kwakweli ni dhambi kabisa iliyofanyika....
 
Mimi huwa najiuliza bado mtu aliye washauri Hamisa na Vera kuwa wanajua kuimba hakika watanzania sisi ni wanafiki sana tena sana yani mtu una mdanganya mtu kama Hamisa au Vera kuimba kwakweli ni dhambi kabisa iliyofanyika....
Ukitaka kujua wabongo ni wanafiki mtu Kama barnnaba ambaye kaso ea kabisa mziki anamsifia kabisa.
Ukisikiliza hamisa ni Kama unamsikiliza mtu yoyote aliimba wakati yupo bafuni anaoga.
Kuanzia maproducer Hadi anaeshoot video wote ni wanafiki
 
Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.

Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma

Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.
Yule vera sidika mashabiki anao aendelee tu kuimba, maana ule msambwanda ulimpa mashabiki kabla hata ya kuanza kuimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom