Vera Sidika na Hamisa Mobetto hamjui kuimba fanyeni kitu kingine!!!

Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.

Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma

Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.


Na si kuwa na sauti nyembamba tu ila hawawezi kuimba hata kidogo....wako out of tune. Bora mwenzao Jokate aliona haya mapema maana naye alikuwa hivyo hivyo. Muziki una kanuni zake si kila mbongo fleva ni mwanamuziki kweli, wanasaidiwa na studio tu ku tune sauti zao.
 
Iko hivi anyone can sing tatizo unaimbaje. Hao kina Mobetto usikute wangefanya mziki wa asili wangetisha sana.
 
Watu wanakinga pesa zao you tube hata wakiamua tu kupiga mluzi nyimbo nzima umashuhuri unatosha kuuza kazi zao za sanaa,
hata hii thread imemuongezea Hamisa views huko you tube kama roho inawauma kajambeni mlale.
Wacha weee nakuona leo nimeingilia himaya yako
 
Mange anamwambia ana Nyota
Hajijui kama anapiga kelele tu
Wengi wanawatetea kuwa wanatumia fan base ya vizuri.

Honesty bora vera sababu hio ina mashiko kwake sababu ana pesa za kutosha baada ya kudanga sana

Sasa mwenzangu na mie pugi,pesa hana kapata ka show kidogo huko marekani keshaenda tumia kutafutia kiki..akifulia ataanza pitisha bakuli kwa misukule yake.
 
Wimbo wa Jojo ulikuwa mzuri sana.
Na si kuwa na sauti nyembamba tu ila hawawezi kuimba hata kidogo....wako out of tune. Bora mwenzao Jokate aliona haya mapema maana naye alikuwa hivyo hivyo. Muziki una kanuni zake si kila mbongo fleva ni mwanamuziki kweli, wanasaidiwa na studio tu ku tune sauti zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom