Vengu anaumwa na ugonjwa gani?

unajua tunatumia muda wetu ku-discus mambo ya kipuuzi ambayo hayatusaidii, ukijua anaumwa nini wewe inapata faida gani?
 
Jambo la msingi tujitahidi kumuombea ndugu yetu, swala la ugonjwa gani, it's not a vital thing to discuss, Get well soon Vengu, Mungu akuponye
 
Back
Top Bottom