W Wambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2011 557 319 Jan 13, 2012 #21 Saint Ivuga said: ina maana ulikuwa nje yanchi? nchi gani ambayo kulikuwa hakuna internet ..au jela? Click to expand... kweli aisee.. Huyu jamaa huenda alikuwa ndumo au ngome
Saint Ivuga said: ina maana ulikuwa nje yanchi? nchi gani ambayo kulikuwa hakuna internet ..au jela? Click to expand... kweli aisee.. Huyu jamaa huenda alikuwa ndumo au ngome
K Kuchayaa Senior Member Dec 28, 2011 119 17 Jan 13, 2012 #22 unajua tunatumia muda wetu ku-discus mambo ya kipuuzi ambayo hayatusaidii, ukijua anaumwa nini wewe inapata faida gani?
unajua tunatumia muda wetu ku-discus mambo ya kipuuzi ambayo hayatusaidii, ukijua anaumwa nini wewe inapata faida gani?
N Ngarenaro JF-Expert Member Nov 29, 2011 308 45 Jan 13, 2012 #23 Jambo la msingi tujitahidi kumuombea ndugu yetu, swala la ugonjwa gani, it's not a vital thing to discuss, Get well soon Vengu, Mungu akuponye
Jambo la msingi tujitahidi kumuombea ndugu yetu, swala la ugonjwa gani, it's not a vital thing to discuss, Get well soon Vengu, Mungu akuponye