Patrick Elias
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 332
- 108
Kweli wana haki kufanya hvyo kwani ata ukienda nchi za kiislam ni marufuku mwanamke ata nywele kuonekana bila kujali dini yako.
Tofauti na nchi ya Saudia na Iran nchi gani yenye hiyo sheria unayosema wewe?
Vp style kama hizo ?
Kweli wana haki kufanya hvyo kwani ata ukienda nchi za kiislam ni marufuku mwanamke ata nywele kuonekana bila kujali dini yako.
Tofautisha kujisitiri na kuvaa nikab nadhani wanawake wa kiislam tukivaa mavazi ya kujisitiri sio lazima nikab
Cha muhimu kufuata sheria ya nchi,ukiona ngum unarudi kwenu kwani waislam ambao ni wazawa wapo kimya,pili lazima kuwe na sababu za msingi kwa marufuku hyo ,je wewe unazijua?
Bas sawa. .
View attachment 168437
Bas sawa. .
View attachment 168437
Bas sawa. .
View attachment 168437